Ninavyofaham mm 'Tueur de Lion' uzalendo daima huwa unakuwa accelerated na uwiano sawa wa hali za maisha kwa watu wote ktk taifa na mgawanyo sawa wa rasilimali za taifa.Kilichopo hapa Tz kwa hiv sasa kuna watu ni matajir including people from the politic block,na hawa watu utajir wao umetokana na kuiibia serikali au kuwaibia Common people na hawafanyi kaz yoyote ya maana tofauti na kuongea kwa maana rahis hawazalishi chochote kwa ustawi wa jamii...lakn watu wa tabaka chini wanafanya kaz nzito kwa masaa mengi kwa ujira MDOGO na bado wakpata ulemav,magonjwa na hata kupunguzwa kazn (Redundancy).
wengi huwa huwa hawapewi fedha za kwenda kuanzishia maisha huko waendako.Vlevle hawa watu wa hali ya chini sana pamoja na kulizalishia taifa bado wengi wanaishi kwenye vjumba hafifu na visivyo hata na umeme wakati watoto wao wanasoma saint kayumba au Swahili medium schools, kwa hali hii ww mtoa mada unadhani patakuwepo na uzalendo?
Ww unamlaumu huyo Dogo (Young Dee), kwa huo wimbo wake wa Bongo bahati mbaya, lakn nataka utambue ya kwamba hayo ni matokeo ya mabaya yote yaliyowahi kutendwa na yanayotendeka kwenye taifa letu.Haiwezekani mkulima wa nchi hii akawa na maisha mabov na mwanae kukosa mkopo wa elimu ya juu halaf akawa na uzalendo na taifa lake