Waziri Muhongo azomewa!

Waziri Muhongo azomewa!

Nguvu ya umma imeshaanza kufanya kazi taratibu, na taratibu ccm wataelewa, mwishowe taratibu wataachia nchi na mabadiliko yataanza kutokea nchini kwetu.
 
*Ni baada ya kuanza kuwatukana viongozi wa Chadema kwenye mkutano wa hadhara.

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Tabora, juzi walijikuta katika wakati mugumu baada ya kuzomewa na wananchi kwenye mkutano wa hadhara. Tukio hilo la aina yake lilitokea wakati viongozi wa chama hicho akiwemo Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage, walipokwenda kuhutubia katika uwanja wa Stendi ya zamani wa mabasi mjini hapa.
"Tunataka barabara za lami kuanzia Tabora-Nzega, vinginevyo wapisheni peoples power," walisikika baadhi ya wananchi wakisema.

Source: Gazeti la Mtanzania la leo.
 
Unajua M4C itaendelea hata baada ya uchaguzi 2015? Sio upepo.
 
Siasa za tz bhana! Mbunge anatoa hundi Mil 68 kwa kazi za maendeleo, kazipataje na serikali ifanye nini? Poor Rage, hata hajui kazi ya mbunge. Kama ni hivyo, hatuna haja ya kuwa na serikali, chama tu kinatosha.
 
Nipo kama Bwana wako! Mwendesha Bodaboda akimzomea Professor، Prof atapungukiwa na nini au hao Maboda boda wataongezeka nini, Kwanza hiyo habari ni ya kutunga kuwaliza Akili kipunje kama wewe!

Chura hilooo chura hilooo
 
Ha ha ha kwahiyo prof amepata aka ya frog?ha ha profesa frog

7568_1_2e251a.jpg
 
wanach bana
milion 68 wana weza huza hata hutu wao.
 
wanach bana
milion 68 wana weza huza hata hutu wao.
 
Kuzomea ni tabia ya binadamu aliyechoka kufikiri...tusipende kusifia tabia za ajabu kama hizi....zina madhara makubwa siku za usoni kama tukiziendekeza.....!
Kuendekeza mambo haya japo yanaweza kuwa in favor upande wetu kwa sasa but may cost us a lot in the future!
 
Siasa za tz bhana! Mbunge anatoa hundi Mil 68 kwa kazi za maendeleo, kazipataje na serikali ifanye nini? Poor Rage, hata hajui kazi ya mbunge. Kama ni hivyo, hatuna haja ya kuwa na serikali, chama tu kinatosha.
Hiiyo hela yote ni kweli ni halali? Kama takukuru wangekuwa na meno wangetakiwa wamhoji. Hivi kazi ya wabunge ni kutoa fedha yao mfukoni ili kuendeleza majimbo yao? Na wale wabunge ambao siyo mafisadi itakuwaje? Sasa kuna haja gani ya halmashauri au hata wizara kuandaa bajeti kama mbunge anaweza kutoa milioni 68 mfukoni? Ni nani atafuatilia matumizi ya hiyo hela? Hawa ndiyo wanawafanya baadhi ya watumishi wa halmashauri kukosa uaminifu kwaninwanapewa fedha ambayo hawalazimiki kuitolea maelezo.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kuzomea ni tabia ya binadamu aliyechoka kufikiri...tusipende kusifia tabia za ajabu kama hizi....zina madhara makubwa siku za usoni kama tukiziendekeza.....!
Kuendekeza mambo haya japo yanaweza kuwa in favor upande wetu kwa sasa but may cost us a lot in the future!

Natofautiana na wewe. Binadamu aliyechoka kufikiri ananyamaza, na kuanza Physical violence. Lakini pia ukumbuke kwamba binadamu aliyechoka na kunyanyaswa na kuonewa, hana jinsi zaidi ya kunyesha hisia zake kwa njia ya kuzomea. Nadhani huu ndio ujumbe tu wanaoweza kuulewa hawa watawala wa CCM. Miaka zaidi ya hamsini, wamepewa nchi kutawala wameshindwa. Kwa hiyo wanapowafananisha wananchi na Chura wanakuwa wamevuka mipaka

Kuzomewa ni halali yao. Nadhani aibu wanayoipata inawatosha kubadilisha mienendo na tabia zao za ajabu
 
Siasa za tz bhana! Mbunge anatoa hundi Mil 68 kwa kazi za maendeleo, kazipataje na serikali ifanye nini? Poor Rage, hata hajui kazi ya mbunge. Kama ni hivyo, hatuna haja ya kuwa na serikali, chama tu kinatosha.

Dewji naye kaiga hayo ya Aden Rage. wezi wa CCM hao. Watazomewa sana
 
Kuzomea ni kuonesha hisia fulani kwa jambo foleni. kwa muktadha huo ni wazi wazomeaji wanafikisha ujumbe wao kwa walengwa. Ni sahihi sana kuwazomea hao viongozi
 
Na bado wanadhani kutowa kafara damu za watanzania ni raha? mungu yupo iposiku atawajibu wa tanzania.

Huyu mtu amesema Hawezi tena kuongea na watu wa mtwara kwa sababu ni wapuuzi...!
 
Back
Top Bottom