Unajaribu kubalance mzani, eti?Mpango na Zitto watatuvuruga bure!
HahahahahaWaziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Nimenukuu tu kipengeleWaziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Kumbe bado kuna watu hawaoni majanga yanayotokea nchi hii?.yanayotokea sasa hivi ni zaidi ya tetemeko!!Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.
Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.
Kuna vitu viwili kwenye hoja yako, ambapo kimoja ni sahihi na kingine si sahihi. Mosi kama tukichukuwa kuwa hoja ya Serikali uchumi unakuwa kwa zaidi ya 6% basi hoja ya IMF ya 4% inatkuwa si ya kweli. Na kama ukichukulia hoja ya IMF ni sahihi basi kwa upande wa pili basi takwimu za Serikali si sahihi na hivyo basi kuna kupikwa kwa data ili kuonyesha wananchi tupo na muelekeo mzuri.Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.
Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.
magu kila siku anazidi kushushuka.niliona reaction za watu wengi baada ya kupatikana Mo alivyotekwa wananchi wengi waling'amua kua jiwe ndo alitenda.day after hadi leo wanajua kua jiwe si lolote hana jema yupo pale kujinufaisha na anatumia mabavu kutuogopesha na kwa kweli hadi anaondoka atakua ameishafanya uharibifu mkubwa kwa nchi yetu.hasara atayoacha ni kubwa kuliko watawala waliopitaKumbe bado kuna watu hawaoni majanga yanayotokea nchi hii?.yanayotokea sasa hivi ni zaidi ya tetemeko!!
Viongozi wachumia tumbo..mafisadi wanaogopa kuanikwa wazi,..kama mwajiamini kwanini muogope sasa..ndio mana Ripoti ya CAG mmetulia tuli kama hamuioni kumbe mjaa ufisadi..
Mwogopeni Mungu,Ogopeni kodi za wavuja jasho wa Tz.
Simamieni haki na kweli...mjisahihishe
Nchi yetu sote hii.
Midomo mirefu kama chuchundu hawa makamongo wa lumumbaWale KAMONGO waliokuwa wanapiga makelele kuhanikiza IMF itimuliwe kiko wapi sasa!!
Una argue kwa kututathmini normal economic trend, hujajaribu kuwa za nje ya box?Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.
Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.
Wale KAMONGO waliokuwa wanapiga makelele kuhanikiza IMF itimuliwe kiko wapi sasa!!
Tulia ndugu. Hesabu zilikuwa zinapikwa na hazikuwa halisi.Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.
Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.
Ingekuwa imetolewa na taasisi Kama twaweza serikali ingekua imeshafunguliwa kesi ya uchochezi na upotashaji, hapo hapo utasikia msema kweli mpenzi wa mungu. Sasa wafungulieni IMF kesi ya uchocheziWaziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Kuna kipengere kinasema Tanzania imetumia data uchwara kupata economic growth.Nimenukuu tu kipengele
Ni nchi ngapi dunia zinafanya kama hivi ambavyo Tanzania inafanya ?Waziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Umeishiwa pumzi mkuu?Mpango na Zitto watatuvuruga bure!