Waziri Mpango: Serikali ipo katika majadiliano ya IMF kuhusu ripoti ya Tanzania

Kuna vitu viwili kwenye hoja yako, ambapo kimoja ni sahihi na kingine si sahihi. Mosi kama tukichukuwa kuwa hoja ya Serikali uchumi unakuwa kwa zaidi ya 6% basi hoja ya IMF ya 4% inatkuwa si ya kweli. Na kama ukichukulia hoja ya IMF ni sahihi basi kwa upande wa pili basi takwimu za Serikali si sahihi na hivyo basi kuna kupikwa kwa data ili kuonyesha wananchi tupo na muelekeo mzuri.
Ila kwa maoni yangu, IMF huwa hawadangani tuliona ya Zimbabwe na kwa mataifa mengine mengi tu

Takwi za kukua kwa uchumi zinategemea "research data" imetokea wapi na imefanyika na nani.

Tanzania ilipitishwa sheria ya takwimu zote zitokee na zitolewe na sehemu maalum iliyoruhusiwa. Naamini maalum bank baina ya serikali na IMF ni takwimu za IMF wamezipata wapi na zimeruhusiwa na nani?

Ukuwaji wa uchumi kwa asilimia yoyote ile hauashirii uwezo au ubora wa maisha kwa raia. Hiyo simply ni report inayosaidia kukopesheka na uwekezaji.

Sifahamu mnachobishana nini kuhusu hiyo report kwani unaweza kuwa na uchumi a unaokua kwa asilimia 10 lakini na wewe umeongeza raia kwa asilimia 11. Ukuwaji wako umekusaidia nini?

Au unaweza kukua kwa asilimia 10 ya billion moja na mwengine akajuwa kwa asilimia Tatu ya trillion moja. Nani zaidi hapo?


Kumbuka kuwa reports za IMF na world bank zinalenga au kujenga uankubomoa kutokana na hali ya faida kwa nchi zenye kufaidika kuwakopesha mikopo ya masharti maalum, si vinginevyo.

Mnachobiashania humu ni nini haswa? Sijaona mantiki.
 
Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.

Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.
Ambacho huelewi nini? hapo kuna mmoja anapika data, wacha kuchengesha maneno.
 
Something must have gone wrong somewhere. Haiingii kichwani ndani ya miezi mitatu hesabu ziteremke kutoka wastani kwa mwaka wa 7% hadi 4% bila kuwa na tukio kubwa (janga) lililotokea, hususani vita au "a big natural disaster". Tetemeko la Kagera kamwe haliwezi kuwa sababu. So what had happened in that period to justify for that sharp decline of these statistics? Ndiyo maana wajumbe toka IMF wako hapa kwa majadiliano na maafisa wetu wa BoT.

Tukumbuke katika kipindi hiko kulitokea mabadiliko ya uongozi wa juu wa BoT baada ya Gavana wake, Prof Ndulu kustaafu kwa mjibu wa sheria. Inawezekana hand-over ilikuwa haijakamilika vizuri wakati maofisa wa IMF walipotutembelea. Tuwe na subira ukweli utajulikana baada ya tathmini mpya ndani ya siku 14 kama alivyoahidi Mh. Mpango.

Indeed Something must be wrong somewhere.

Firstly, economic review report by IMF culminates annually, hivyo ripoti kuteremka toka 7% mpaka 4% ndani ya miezi mitatu, inaleta maswali ni nani anatoa taarifa ndani ya miezi mitatu? kumbuka apples have to be compared to apples. This year sharp decline has to be compared with last year same length of period results.

Secondly, what can make these figures rise or fall, mainly attributed to economic policies rather than natural disasters. Refer to Zimbabwe case and Uganda during Idd Amin regime. It is from this aspect, the final product is not a report but consultancy. Had it been the case that, fall in figures is mainly from natural disasters, relief programs would have been accompanying these reports.

Thirdly, Prof Benno Ndulu alistaafu kama gavana tarehe 07 January, 2018. Hawa wataalamu wa IMF wamekuja November 2018 mpaka Decemeber 2018, hivyo transition effect during handling over an office is questionable if it has to be taken into equation.

I stand to be corrected.
 
Kuna vitu viwili kwenye hoja yako, ambapo kimoja ni sahihi na kingine si sahihi. Mosi kama tukichukuwa kuwa hoja ya Serikali uchumi unakuwa kwa zaidi ya 6% basi hoja ya IMF ya 4% inatkuwa si ya kweli. Na kama ukichukulia hoja ya IMF ni sahihi basi kwa upande wa pili basi takwimu za Serikali si sahihi na hivyo basi kuna kupikwa kwa data ili kuonyesha wananchi tupo na muelekeo mzuri.
Ila kwa maoni yangu, IMF huwa hawadangani tuliona ya Zimbabwe na kwa mataifa mengine mengi tu

Chief,
What you have done is to develop what in social research methods is called "Null Hypothesis and Alternative Hypothesis" which is actually a second stage after defining a problem. Unfortunately, you jumped to conclusion that IMF is never wrong which is stage five.

You should have collected data and process them, to get concrete reasons to make audience believe your findings, rather than relying on feelings.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Hizo siku 14 ni kuanzia lini hadi lini? Kwasababu IMF walikuja November 2018 wakaondoka December. Sasa ni April 2019 siku 14 hazijaisha?
Bora nijinyamazie, waswahili walisema ikifika siku fulani miti yote huteleza eti eh?
Au kuna comedian ajae 'kutukombolea' nchi kama yule wa Ukraine?
Lakini kwa bongoland huyo comedian angejikuta anajikuna na kucheka mwenyewe!
HACHEKI MTU HAPA!
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameleza kuwa Serikali haijazuia ripoti ya IMF kama inavyoelezwa bali ipo katika majadiliano juu ya maoni ambayo serikali imeyawasilisha IMF kabla ya kuchapishwa kwa ripoti hiyo .

Akijibu swali la Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka leoalietaka kujua kwa nini Tanzania imezuia uchapishaji wa taarifa hiyo?, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema Serikali haijazuia kuchapishwa kwa ripoti hiyo bali inaendelea na mazungumzo na IMF.

1079624




Mwakajoka aliibua hoja hiyo alipokuwa akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Waziri Mpango ameeleza kuwa suala la kawaida na taratibu za IMF kuwasilisha rasimu serikalini kwa maoni kabla ya kuchapisha ambapo serikali husika inakuwa na siku 14 za kujadili na kutoa maoni yake.

Waziri Mpango amesema kuwa IMF haijazingatia maoni ya Serikali ya Tanzania lakini bado mazungumzo yanaendelea.

Kauli hiyo ya Serikali imetolewa baada ya IMF kuijuza dunia tangu Aprili 17 ilipotoa taarifa kuwa baada ya kikao chake, Serikali ya Tanzania, imezuia kuchapisha tathmini iliyofanywa wala kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameleza kuwa Serikali haijazuia ripoti ya IMF kama inavyoelezwa bali ipo katika majadiliano juu ya maoni ambayo serikali imeyawasilisha IMF kabla ya kuchapishwa kwa ripoti hiyo .

Akijibu swali la Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka leoalietaka kujua kwa nini Tanzania imezuia uchapishaji wa taarifa hiyo?, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema Serikali haijazuia kuchapishwa kwa ripoti hiyo bali inaendelea na mazungumzo na IMF.

View attachment 1079624



Mwakajoka aliibua hoja hiyo alipokuwa akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Waziri Mpango ameeleza kuwa suala la kawaida na taratibu za IMF kuwasilisha rasimu serikalini kwa maoni kabla ya kuchapisha ambapo serikali husika inakuwa na siku 14 za kujadili na kutoa maoni yake.

Waziri Mpango amesema kuwa IMF haijazingatia maoni ya Serikali ya Tanzania lakini bado mazungumzo yanaendelea.

Kauli hiyo ya Serikali imetolewa baada ya IMF kuijuza dunia tangu Aprili 17 ilipotoa taarifa kuwa baada ya kikao chake, Serikali ya Tanzania, imezuia kuchapisha tathmini iliyofanywa wala kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.
IFM = IMF
 
Bibi hujui kuna kitu kinaitwa flashback kujua chanzo cha tatizo..shida yako uzee unakusumbua..tunaanzia ripoti ya CAG tunakuja IMF.
Uzi unaongelea IMF wewe unaongelea CAG!

Hivi huwa mnaelewa hata kinachojadiliwa ni nini? Au mradi muandike tu? Eti kwa kuwa tu sasa unamiliki kisimu kinachokuwezesha kuandika kwenye mtandao.
 
Bibi hujui kuna kitu kinaitwa flashback kujua chanzo cha tatizo..shida yako uzee unakusumbua..tunaanzia ripoti ya CAG tunakuja IMF.
Tatizo lenu kubwa ni shule za kusomea ujinga. Huwezi kuchanganya mchele na sembe ukapika sufuria moja ukasema chakula kimenoga.
 
Mkopo wenye riba kwangu haramu mana mwenye kukopa mkobo wa riba siku ya kiama hatotizamwa na Allah , ni afadhali aliyezini na mamaye kuliko aliyekopa mkopo wa riba, kwa hito mash-khofu Al Anisa Faiza Foxy
Mbona unaishadadia IMF report ambayo kwa kiwango chochote kile inahusiana na uwezo wa kukopesheka?
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Phillip Mpango amelieleza Bunge leo mjini Dodoma kuwa Serikali iko katika majadiliano na IMF kuhusu ripoti ya Tanzania na kuna siku 14 za kujadiliana kufuatia wataalamu waliotumwa awali kutozingatia hoja za upande wa Serikali kama ulivyo utaratibu.
Haya kiko wapi sasa...??? Unajadiliana nini na UNAOWAITA MABEBERU..??? Mpaka kufika 2025,kutakuwa na majafiliano PENDING ya kumwaga.... Haya, YALE MAJAFILIANO NA 'WANAUME WA MAKINIKIA' YAMEISHIA WAPI??
 
Na ijulikane hao wataalamu ni wahuni wahuni, nadhani watafukuzwa kazi, maana IMF inaihitaji Tanzania zaidi ili kutukopesha, sasa inasikitisha zzk na uongo wake akidhani eti ni vyema kuwanyenyekea mabeberu, kwa IMF na world bank ni institutions nyonyaji sana!!!
Hatukopesheki. Kilangila.
 
Back
Top Bottom