IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha ya nchi 10 za Africa zenye deni kubwa zaidi huko Shirika la Fedha Duniani ( IMF )

Kwa msiofahamu, Nchi Tisa kati ya kumi ndio nchi zinazoshikilia uchumi wote wa Africa,

Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bara la Africa tena kwa riba kiduchu ambayo ni chini ya asilimia moja tena kwa muda wa miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
 
Utafiti wako umelenga upande mmoja tu wa kufikiri, ni kama kumwambia baba yako kuwa Mo na Bakhresa wana mikopo mikubwa benki kwahiyo naye ana asset akakope,.. Swali:, akope Kwa mipango gani!?,je mikopo aliyoochukua mfululizo imefanya nini!?.., yani unaona nchi imeshakuwa Shamba la bibi bado unashauri ikakope bila mpangilio??,au wewe ni Mwigulu mwenyewe nini unajaribu kuhalisha mikopo iliyo kwenye mipango yenu ya karibuni!?.., unadhani watanzania wote ni wajinga!?..,
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bar la Africa kwa riba kiduchu sana ya chini ya 1% kwani muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa utakuta ni hawahawa wanaodaiwa zaidi na IMF,

Hoja yangu ni kwanini Tanzania yenye uchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki?

Nchi ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi nani ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuatamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Tanzania tukopeni zaidi ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT na wenzake hapo juu tuache mawazo ya kizwazwa eti kukopa ni kuuza nchi,


Kazi iendelee,
Hii yako ni akili kubwa sana hata Mimi huwa nawashangaa wabongo
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bar la Africa kwa riba kiduchu sana ya chini ya 1% kwani muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa utakuta ni hawahawa wanaodaiwa zaidi na IMF,

Hoja yangu ni kwanini Tanzania yenye uchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki?

Nchi ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi nani ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuatamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Tanzania tukopeni zaidi ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT na wenzake hapo juu tuache mawazo ya kizwazwa eti kukopa ni kuuza nchi,


Kazi iendelee,
Hii yako ni akili kubwa sana hata Mimi huwa nawashangaa akina Mstaafu eti nchi itauzwa, How?
 
Utafiti wako umelenga upande mmoja tu wa kufikiri, ni kama kumwambia baba yako kuwa Mo na Bakhresa wana mikopo mikubwa benki kwahiyo naye ana asset akakope,.. Swali:, akope Kwa mipango gani!?,je mikopo aliyoochukua mfululizo imefanya nini!?.., yani unaona nchi imeshakuwa Shamba la bibi bado unashauri ikakope bila mpangilio??,au wewe ni Mwigulu mwenyewe nini unajaribu kuhalisha mikopo iliyo kwenye mipango yenu ya karibuni!?.., unadhani watanzania wote ni wajinga!?..,
Mimi sijazungumzia shamba la bibi Wala la Babu nimesema niujinga kukimbia Mikopo kama tunataka maendeleo ya haraka
 
Hongera Mama Samia, hongera Mwigulu kwa kusimamia uchumi wa nchi.
#NaHapaIpo
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bar la Africa kwa riba kiduchu sana ya chini ya 1% kwani muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa utakuta ni hawahawa wanaodaiwa zaidi na IMF,

Hoja yangu ni kwanini Tanzania yenye uchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki?

Nchi ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi nani ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuatamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Tanzania tukopeni zaidi ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT na wenzake hapo juu tuache mawazo ya kizwazwa eti kukopa ni kuuza nchi,


Kazi iendelee,
Ok

Tuendeleee kukopa tu au siyo

Maana tuko vizuri bado

Ova
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bar la Africa kwa riba kiduchu sana ya chini ya 1% kwani muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa utakuta ni hawahawa wanaodaiwa zaidi na IMF,

Hoja yangu ni kwanini Tanzania yenye uchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki?

Nchi ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi nani ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuatamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Tanzania tukopeni zaidi ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT na wenzake hapo juu tuache mawazo ya kizwazwa eti kukopa ni kuuza nchi,


Kazi iendelee,
Ukubwa wa deni unaendana na kipato chako, mimi ukinikopesha sh.laki moja tutakuwa tunatafutana uadui, kwangu ni deni kubwa lakini kwako si deni.
 
Inshu Sio kukopa Tanzania toka ilipoanza kukopa Mpka Leo ingekuwa mbali Sana Kuna Wakati unaona haina tofauti na kutokukopa tatzo uadilifu wa viongozi wetu Wa kiafrika wanaumaskini mkubwa Sana Wa kifrika hata ukope utajikuta ndokwanza unaharibu Zaidi Maisha ya watu,rai yangu ni tujikite zaidi kwenye kuwa waadilifu hata tukikopa bhas tukope na tutekeleze yale tuliodhamiria kukopa.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana eti kukopa ni kuuza nchi, ila Leo kwa andiko hili umewaweza mkuu CM 1774858

A=B , huyu ni wewe mtoa mada, anyway wengi tunapata wakati mgumu na matumizi ya pesa za mikopo. Unakopa alafu wajanja wanapita nazo almost 50% yake na kila mwaka report za CGA hazifanyiwi kazi kwa kuwafanya watu mfano kama kuwanyonga..
 
Utafiti wako umelenga upande mmoja tu wa kufikiri, ni kama kumwambia baba yako kuwa Mo na Bakhresa wana mikopo mikubwa benki kwahiyo naye ana asset akakope,.. Swali:, akope Kwa mipango gani!?,je mikopo aliyoochukua mfululizo imefanya nini!?.., yani unaona nchi imeshakuwa Shamba la bibi bado unashauri ikakope bila mpangilio??,au wewe ni Mwigulu mwenyewe nini unajaribu kuhalisha mikopo iliyo kwenye mipango yenu ya karibuni!?.., unadhani watanzania wote ni wajinga!?..,
Shamba la bibi ndiyo nini?
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hii ndio orodha na hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF ,kutoka bara la Africa kwa riba kiduchu ya chini ya asilimia moja kwa muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF,

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South ,Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Leo Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee,
Unashangaa nini Sasa?
 
Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.
Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.
Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
Kwani kuwa na choo Bora sio maendeleo?
 
Back
Top Bottom