Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,372
- 17,920
Hili ndio jambo muhimu sana.serikali iamue tu upande upi ujamaa au ubepari
Kuwa kotekote ni ngumu sana utekelezaji wa sera za kitaifa hasa kukiwa na watekelezaji/watendaji wasio na uelewa mkubwa wa dhana yeyote au mojawapo ya hizo mbili, yaani ujamaa au ubepari.
Naona China wenzetu wamejua kuchanganya hivi vitu viwili ndio maana wanaendelea kwa kasi.