naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,065
Nawafananisha kwa academic arrogance si vinginevyoU aren't serious. Huwez mfananisha mipango na Muhongo. Hata majina yanajieleza yenyewe.
Nawafananisha kwa academic arrogance si vinginevyoU aren't serious. Huwez mfananisha mipango na Muhongo. Hata majina yanajieleza yenyewe.
Huyu jamaa kapotea,sijui wasiojulikana wamemuotea?nafasi ya mtu hii..
Raisi anaangalia wapi bunge live... tuambiane
Hoja yako inakubalika sana lakini mkuu si kuna kitu inaitwa kufanya pitching business idea/product or project pitching?Mkuu, wawekezaji tena wa miradi mikubwa hawaletwi kihivyo ..............!!
Kama wanakubaliana na ushauri basi watangaze Expression of Interest waone ni proposal ngapi watazipata.
Sasa Nape au Bashe wakileta Watu wao ........... halafu huko mbeleni mambo yakatofautiana si lawama zitakuwa kwao kama Rugemarila leo anavyosoteshwa Lupango na IPTL yake!!
Nakubaliana na wewe ..............!!Hoja yako inakubalika sana lakini mkuu si kuna kitu inaitwa kufanya pitching business idea/product or project pitching?
Nadhani hii ipo kwa pande zote, namaanisha mwenye project anaweza kufanya pitching kutafuta wawekezaji lakini pia mfanyabiashara( kwa kesi hii ni muwekezaji binafsi) anaweza kufanya pitching ya kushawishi apate zabuni au mradi wa kushirikiana/kuwekeza na mteja(kwa kesi hii ni serikali). Kwamba mfanyabiashara anaweza kuwa na idea ya mradi mzuri kwa taifa na yeye kupata kipato ambao watendaji wa serikalini walikuwa hawana wazo zuri kama hilo, yeye anaenda kuwashawishi wanampa zabuni.
Hiyo kitu inakubalika, na serikali inaweza kukusikiliza ikafurahishwa na idea yako wakakupa mradi wa kuwekeza.
Raisi ni taasisi kiongozi jua Hilo . Na yeye Ndo kiongozi mkuu wa serikali jus na Hilo piaRaisi atafute wawekezaji asijibu majibu marahisi,arafu nape na bashe walikuwa wanaongea na mpango,sio magufuli kwahyo ingetosha kusema serikali badala ya Raisi,au ndio mnatafuta kuwanyamazisha wasionekane wanajishana na raisi
Sizonje alimuomba nasikia akamjibu you are not of my type. Akamfanyia mizengwe Hadi jumfukuza. Lakini akampata Kairuki mwengine Hadi kumkabidhi madini yoteWawekezaji wanakuja kutokana na sera zao kuhusu wawekezaji wenyewe.
Sasa kama unamkalibisha mgeni huku umemuelekezea mtutu wa bunduki, unafikilia hatakama atafika barazani kwako lakini atakua na wasiwasi !
Yule mama tangu wamuondoe kwenye ofisi ya uwekezaji hadi leo mambo hayajakaa sawa.
Walikuwa wanaongea na serikali. Kutoa majibu, Mpango ilimpasa kushirikisha wenzake serikalini. Na ukiona hivyo, Hilo swala limeshatazamwa na k ufuatiliwa.Raisi atafute wawekezaji asijibu majibu marahisi,arafu nape na bashe walikuwa wanaongea na mpango,sio magufuli kwahyo ingetosha kusema serikali badala ya Raisi,au ndio mnatafuta kuwanyamazisha wasionekane wanajishana na raisi
Wote wapi nondoDr Mpango wanafanana na Prof Muhongo wako very arrogant
Kuwa nondo siyo sababu ya kudharau binadamu wenzio,kuna watu wapo nondo kuzidi wao ila wapo humble sanaWote wapi nondo
Wewe ndiye usiyeelewa vema. Waziri hawezi kuwa na takwimu na majibu ya kila kitakachoulizwa hapohapo. Swali likiulizwa kwa serikali, waziri anatumia wataalam wa sekta na mamlaka zingine ili aweze kutoa majibu yanayostahiki.Wewe bado kabisa, jambo lililopo hapa ni vikao vya bunge ni kwa wabunge tu hivyo kuingiza hoja kupitia simu ni kuongeza idadi ya wabunge na ukiukwaji wa kanuni za bunge na rais lazima aheshimu kanuni za bunge .
nakaribia kushawishikaHapa tumepata uthibitisho kwamba kila kitu kinaamuliwa na mfalme wetu hao wateuliwa nmaboya tu .
Awape kazi kwa utaratibu gani? Ina maana anaingilia mamlaka zote, na hizi tenda kubwa kubwa huenda zina mkono wake!! Kwa staili hii lazima atakuja kukwama muda sio mrefu. Nadhani hiyo nafasi anaitumia vibaya, iko siku nyie mnaemshabikia mtakuja kumkataa. Nae Jenista eti anamtuhumu Mh Mbowe kuwa àheshimu madaraka ya Urais akaenda mbali kwa kutoa mfano wa Mnyeti na Kilango, nilichogundua hakuekewa kilichoongelewa na Mh Mbowe, pole yake maana analinda tumbo lake.Mazingira gani sasa wakati kishasema waje awape kazi?
au huwa mnaongea ili mradi mna midomo?
waambieni waende basi mliokuwa mkiwasemea. acheni manenomaneno.