Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

2008-2012....Putin aliamua kuweka madarakani kama Rais , ili kutoa nafasi yake tena yakua Rais ...


Ndo maana 2012 ..Putin akarudi kua Rais, na Medvedev akarudi kua Waziri mkuu

Putin yupo kwa Urais toka 1999/1/31


Kama umefatilia Speech yake kwa Feds ,Jamaa anatengeneza mazingira yakuendelea kuiendesha Russia hata baada ya muda wake kuisha 2024 , ndo maana Medvedev kajiuzuru.
kwahiyo 2024 atagombea tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahisi ni yeye pekee mwenye uzalendo na urusi nchini mwake?! Unaambiwa utaratibu anataka kuleta kupitia kufanya amendment katika katiba yao utaumiza baadhi ya watu hasa wapinzani.
Putin ni mwamba wa Mashariki anayeleta equilibrium katika universe


Sent using Jamii Forums mobile app

Don't hunt what you can't kill.
 
Urusi ni Putin na Putin ni Urusi.Bila Putin Urusi haiwezi kuwa hivi ilivyo.Bila Putin Urusi haipo.Putin haimarishi taasisi Bali anajiimarisha yeye kama yeye!
 
Putin ajasema kuwa anataka kuwa waziri mkuu ajaye, yeye kasema lazima wafanye marekebisho ya katiba ili kumpunguzia nguvu Rais na nguvu kubwa iwe kwenye bunge.
Ni jambo zuri sana analotaka kufanya maana angekuwa na nia ya kutaka kuendelea kuwa na nguvu basi nguvu asingeamua kurudisha nguvu kwenye bunge.

Yeye anataka bunge liwe na nguvu ya kumchagua waziri mkuu, mawaziri wote na viongozi muhimu katika nchi.ni wazi kabisa Putin anajua kwa katiba iliyopo sasa kama akitokea chizi akapewa nchi basi itakuwa balaa.Nafikiri hata baba wa taifa alishaga sema kuwa hii katiba ni nzuri kwa kiongozi anayejielewa, ila kwa chizi basi ni balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Putin ajasema kuwa anataka kuwa waziri mkuu ajaye, yeye kasema lazima wafanye marekebisho ya katiba ili kumpunguzia nguvu Rais na nguvu kubwa iwe kwenye bunge.
Ni jambo zuri sana analotaka kufanya maana angekuwa na nia ya kutaka kuendelea kuwa na nguvu basi nguvu asingeamua kurudisha nguvu kwenye bunge.

Yeye anataka bunge liwe na nguvu ya kumchagua waziri mkuu, mawaziri wote na viongozi muhimu katika nchi.ni wazi kabisa Putin anajua kwa katiba iliyopo sasa kama akitokea chizi akapewa nchi basi itakuwa balaa.Nafikiri hata baba wa taifa alishaga sema kuwa hii katiba ni nzuri kwa kiongozi anayejielewa, ila kwa chizi basi ni balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono chief
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom