Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Mswidi halisi maana yake nini?

Huyu si mtu wa kwanza kuchoma Quran Sweden.

Waswidi wanaruhusu kuchoma Quran. Yes or No?
Msiwidi hali si yule aliyeomba hifadhi ya ukimbizi.
Awe wa kwanza awe wa mwisho ndiyo kwanza wanauzidisha kuutangaza uislam.
Waswidi hawaruhusu kuchoma msahafu.
 
Msiwidi hali si yule aliyeomba hifadhi ya ukimbizi.
Awe wa kwanza awe wa mwisho ndiyo kwanza wanauzidisha kuutangaza uislam.
Waswidi hawaruhusu kuchoma msahafu.
Hapana.

Uswidi ni uraia, utamaduni.

Mtu aliyezaliwa na kuishi miaka mingi Uswidi anaweza kuzembea katika kuwa Mswidi.

Halafu, mkimbizi aliyekuja Uswidi kutoka Iraq miaka michache iliyopita, akampita katika kuwa Mswidi yule mzawa.

Usikariri.

Islamophobia ni kuuchukia Uislamu bila sababu.

Mtu akiuchukia Uislamu akakueleza kwamba anauchukia Uislamu kwa sababu unakandamiza wanawake, unaeneza ujinga, unajipa umuhimu usiopo unataka kutawala dunia, hiyo si Islamophobia, hiyo ni philosophical argument.
 
Uhuru wa kujieleza. Marekani huwa wanachoma bendera yao, ni sehemu ya uhuru wa kujieleza.

Kwani wakichoma Quran, Allah atakufa?

Mbona watu wanakuwa sensitive hivyo?

Ile Quran si makaratasi tu?

Au mnaabudu Quran?

Waislamu wanamuabudu Allah au wanaiabudu Quran?
Ukiwa na kitabu unachoamini kina maneno ya Mungu wa kweli basi unaye Mungu, hivyo basi kuchoma kitabu hicho ni kumchoma Mungu, ndiyo Mungu anawaona, hao wanaochoma lakini wewe unaeona haikuimizi, huoni vibaya Mungu wako kuchomwa? Sidhani kama ni sahihi.
Kwanza unachoma ili iwe nini? Wapo wanaosema kwani kikochomwa Mungu anakufa? Ni kweli hafi lakini anakasirika ,ni nani awezaye kusimama ktk gadhabu ya Mungu. Tunatakiwa kumuomba sana Mungu hasira yake isiujie ulimwengu
 
Ukiwa na kitabu unachoamini kina maneno ya Mungu wa kweli basi unaye Mungu, hivyo basi kuchoma kitabu hicho ni kumchoma Mungu, ndiyo Mungu anawaona, hao wanaochoma lakini wewe unaeona haikuimizi, huoni vibaya Mungu wako kuchomwa? Sidhani kama ni sahihi.
Kwanza unachoma ili iwe nini? Wapo wanaosema kwani kikochomwa Mungu anakufa? Ni kweli hafi lakini anakasirika ,ni nani awezaye kusimama ktk gadhabu ya Mungu. Tunatakiwa kumuomba sana Mungu hasira yake isiujie ulimwengu
Mungu wa kweli ni yupi?

Unaweza kuthibitisha huyo Mungu wa kweli yupo?
 
Hapana.

Uswidi ni uraia, utamaduni.

Mtu aliyezaliwa na kuishi miaka mingi Uswidi anaweza kuzembea katika kuwa Mswidi.

Halafu, mkimbizi aliyekuja Uswidi kutoka Iraq miaka michache iliyopita, akampita katika kuwa Mswidi yule mzawa.

Usikariri.

Islamophobia ni kuuchukia Uislamu bila sababu.

Mtu akiuchukia Uislamu akakueleza kwamba anauchukia Uislamu kwa sababu unakandamiza wanawake, unaeneza ujinga, unajipa umuhimu usiopo unataka kutawala dunia, hiyo si Islamophobia, hiyo ni philosophical argument.
Kiranga acha kamba na kukariri ujinga, uswidi ni uraia na utamaduni!
Swedes (Swedish: svenskar) are an ethnic group native to the Nordic region, primarily their nation state of Sweden, who share a common ancestry, culture, history and language.
Waswedi (Kiswidi: svenskar) ni kabila la asili katika eneo la Nordic, hasa taifa lao la Uswidi, ambao wanashiriki asili moja, utamaduni, historia na lugha.
Hapana kulazimisha katika Dini. Mtu yupo huru kuamini au kutoamini chochote lakini usitukane na kukashifu wengine.
Islamaphobia ni woga, chuki, au chuki dhidi ya dini ya Kiislamu au Waislamu kwa ujumla, hasa inapoonekana kama nguvu ya kijiografia au chanzo cha ugaidi. Upeo na ufafanuzi sahihi wa neno Islamophobia, ni mada ya mjadala.
 
Kiranga acha kamba na kukariri ujinga, uswidi ni uraia na utamaduni!
Swedes (Swedish: svenskar) are an ethnic group native to the Nordic region, primarily their nation state of Sweden, who share a common ancestry, culture, history and language.
Waswedi (Kiswidi: svenskar) ni kabila la asili katika eneo la Nordic, hasa taifa lao la Uswidi, ambao wanashiriki asili moja, utamaduni, historia na lugha.
Hapana kulazimisha katika Dini. Mtu yupo huru kuamini au kutoamini chochote lakini usitukane na kukashifu wengine.
Islamaphobia ni woga, chuki, au chuki dhidi ya dini ya Kiislamu au Waislamu kwa ujumla, hasa inapoonekana kama nguvu ya kijiografia au chanzo cha ugaidi. Upeo na ufafanuzi sahihi wa neno Islamophobia, ni mada ya mjadala.

"Every fourth (24.9%) resident in the country has a foreign background and every third (32.3%) has at least one parent born abroad. The most common foreign ancestry is Finnish.[4]"


Karibu robo ya wakazi wa Uswidi wana asili ya nje.

Karibu theluthi ya wakazi wa Uswidi wana angalau mzazi mmoja aliyezaliwa nje ya Uswidi.

This is a very multicultural society.

Hapo kuna raia wengi sana wamezaliwa nje. Ethnically si Waswidi. Lakini ni raia wa Sweden. Hao utasema si Waswidi?

Tofautisha Uswidi ethnicity na Uswidi uraia. Kuna mpaka Wafini (ethnically) walio raia Wa Uswidi. Kuna Wasomali kibao (ethnically) raia wa Uswidi. Dunia imegeuka multicultural, wewe umebaki kwenye Uswidi wa ethnicity.

Unasema mtu yupo huru kuamini au kutoamini chochote. Hakuna kulazimishana. Haya, huyo kaamini kuchoma Quran. Quran yake mwenyewe, wala hakuiba. Mbona unamlazimisha asichome?

Akichoma Quran halafu wewe ukampotezea tu kama mjinga, utapoteza nini? Allah atakufa? Unamuabudu Allah au unaiabudu Quran? Huoni hapo unaingia kwenye kuabudu sanamu? Huoni hapo unaabudu kitabu badala ya kumuabudu Allah? Huoni hiyo kama shirki?

Unamlazimishaje mtu asitukane au kukashifu dini nyingine? Huoni hapo ushamuingilia uhuru wake?

Islamophobia ni chuki au woga dhidi ya Uislamu bila sababu, irrational. Phobia is irrational fear.

Once one gives rational reasons why he hates Islam, like Islams oppression of women, or ambition to rule everyone on earth, then that fear becomes rational, it is no longer a phobia, it is no longer Islamophobia.
 
"Every fourth (24.9%) resident in the country has a foreign background and every third (32.3%) has at least one parent born abroad. The most common foreign ancestry is Finnish.[4]"


Karibu robo ya wakazi wa Uswidi wana asili ya nje.

Karibu theluthi ya wakazi wa Uswidi wana angalau mzazi mmoja aliyezaliwa nje ya Uswidi.

This is a very multicultural society.

Hapo kuna raia wengi sana wamezaliwa nje. Ethnically si Waswidi. Lakini ni raia wa Sweden. Hao utasema si Waswidi?

Tofautisha Uswidi ethnicity na Uswidi uraia. Kuna mpaka Wafini (ethnically) walio raia Wa Uswidi. Kuna Wasomali kibao (ethnically) raia wa Uswidi. Dunia imegeuka multicultural, wewe umebaki kwenye Uswidi wa ethnicity.

Unasema mtu yupo huru kuamini au kutoamini chochote. Hakuna kulazimishana. Haya, huyo kaamini kuchoma Quran. Quran yake mwenyewe, wala hakuiba. Mbona unamlazimisha asichome?

Akichoma Quran halafu wewe ukampotezea tu kama mjinga, utapoteza nini? Allah atakufa? Unamuabudu Allah au unaiabudu Quran? Huoni hapo unaingia kwenye kuabudu sanamu? Huoni hapo unaabudu kitabu badala ya kumuabudu Allah? Huoni hiyo kama shirki?

Unamlazimishaje mtu asitukane au kukashifu dini nyingine? Huoni hapo ushamuingilia uhuru wake?

Islamophobia ni chuki au woga dhidi ya Uislamu bila sababu, irrational. Phobia is irrational fear.

Once one gives rational reasons why he hates Islam, like Islams oppression of women, or ambition to rule everyone on earth, then that fear becomes rational, it is no longer a phobia, it is no longer Islamophobia.
Nadhani umeshapata jibu la swali lako la mswidi halisi.
Hivi Kiranga nikisema imani yangu ni kuamini kuwa wewe ni mjinga, wewe ni mshenzi, wewe ni mpumbavu, wewe ni shoga, wewe ni bwege, je nitakuwa ninatumia uhuru wangu kwa kukutukana wewe? Huoni nitakuwa nimefanya kosa la kisheria na la kiungwana kama mtu mstaarabu?
Lazima tutofautishe kati ya uhuru wa kuamini na ufedhuli wa kutukana watu wa imani tofauti na wewe.
Wewe unataka mtu achome msahafu halafu aangaliwe tu? Je unajua thamani ya msahafu kwa waislamu? Ikiwa kwako na watu wengine msahafu si kitu, basi kwa waislamu na watu waungwana kitabu cha dini kina thamani kubwa. Ulishawahi kujiuliza tu mfano mwanchama wa Chadema aichome moto katiba ya CCM nini kitachofuata? Uchomaji wa vitabu vya dini ya watu waliyotofauti na wewe tena mbele ya nyumba ya ibada yao na katika sikukuu yao, huo unauita uhuru? Kama si ufedhuli na kiburi kwa nini asingefanya hivyo bila ya hifadhi ya askari?
Unakiri dunia imekuwa multicultural place kwanini watu wanashindwa kuheshimu imani na tamaduni za watu wengine? Wewe mbona unaji-contradict mwenyewe? Uswidi hakuna waislamu waswidi? Nao haki zao utazipeleka wapi?
Hivi kuna sababu gani za watu kuuchukia uislamu?
Uislamu unataka mtu awe mkweli, mwenye subra, mwenye kutafuta riziki yake kihalali, mwenye kupenda kusoma, mwenye huruma, msikivu, msamehevu, mwenye kuunga ukoo, mwenye heshima, mwenye kujali familia yake, mwenye kuwaangalia wazazi wake, mwenye kuwaheshimu wanawake, mwenye kusaidia jamii, mwenye kumtizama jirani zake, asiwe muongo, mwizi, mlevi, mzinzi, mbadhirifu, haini, mchonganishi, mbazazi, mvivu, mjinga, mwenye kujifananisha na jinsia tofauti na yake, mlaghai n.k.
Sababu zote zinazotolewa na wanaouchukia uislamu ni irrational ndiyo maana ikaitwa Islamophobia.
Don't judge Islam by muslims rather than judge the muslims by their Islam.
 
Nadhani umeshapata jibu la swali lako la mswidi halisi.
Hivi Kiranga nikisema imani yangu ni kuamini kuwa wewe ni mjinga, wewe ni mshenzi, wewe ni mpumbavu, wewe ni shoga, wewe ni bwege, je nitakuwa ninatumia uhuru wangu kwa kukutukana wewe? Huoni nitakuwa nimefanya kosa la kisheria na la kiungwana kama mtu mstaarabu?
Lazima tutofautishe kati ya uhuru wa kuamini na ufedhuli wa kutukana watu wa imani tofauti na wewe.
Wewe unataka mtu achome msahafu halafu aangaliwe tu? Je unajua thamani ya msahafu kwa waislamu? Ikiwa kwako na watu wengine msahafu si kitu, basi kwa waislamu na watu waungwana kitabu cha dini kina thamani kubwa. Ulishawahi kujiuliza tu mfano mwanchama wa Chadema aichome moto katiba ya CCM nini kitachofuata? Uchomaji wa vitabu vya dini ya watu waliyotofauti na wewe tena mbele ya nyumba ya ibada yao na katika sikukuu yao, huo unauita uhuru? Kama si ufedhuli na kiburi kwa nini asingefanya hivyo bila ya hifadhi ya askari?
Unakiri dunia imekuwa multicultural place kwanini watu wanashindwa kuheshimu imani na tamaduni za watu wengine? Wewe mbona unaji-contradict mwenyewe? Uswidi hakuna waislamu waswidi? Nao haki zao utazipeleka wapi?
Hivi kuna sababu gani za watu kuuchukia uislamu?
Uislamu unataka mtu awe mkweli, mwenye subra, mwenye kutafuta riziki yake kihalali, mwenye kupenda kusoma, mwenye huruma, msikivu, msamehevu, mwenye kuunga ukoo, mwenye heshima, mwenye kujali familia yake, mwenye kuwaangalia wazazi wake, mwenye kuwaheshimu wanawake, mwenye kusaidia jamii, mwenye kumtizama jirani zake, asiwe muongo, mwizi, mlevi, mzinzi, mbadhirifu, haini, mchonganishi, mbazazi, mvivu, mjinga, mwenye kujifananisha na jinsia tofauti na yake, mlaghai n.k.
Sababu zote zinazotolewa na wanaouchukia uislamu ni irrational ndiyo maana ikaitwa Islamophobia.
Don't judge Islam by muslims rather than judge the muslims by their Islam.

Umeshindwa kukanusha Mswidi halisi ni nani.

Ukinipa kashfa zote hizo, huo ni uhuru wako wa kujieleza na kuamini. Sasa mimi nitakuzuia vipi nikufanye usiamini unachoamini? Huo ni uhuru wako wa kikatiba na sehemu ya haki zako za kibinadamu.

Lakini dunia inayofuata mantiki itapima maneno yako kwa kumuangalia Kiranga, na kama maneno yako ya kashfa hayana msingi, itakupuuza tu.

Sasa mimi kwa nini nihamaki ikiwa maneno yako si ya kweli?

Waislamu wanamuabudu Mungu au wanaabudu msahafu?

Huoni kwamba ukikasirika kwa msahafu kuchomwa moto unaenda kwenye kuuabudu msahafu, unaenda kwenye ibada ya sanamu. Unakuwa unaabudu kitabu badala ya kumuabudu Mungu?

Kuheshimu imani na tamaduni za watu wengine ni pamoja na kuheshimu uhuru wa watu kuchoma vitabu wasivyovipenda. Wewe wakaushie tu, dunia itawahukumu kama wanafanya kitu kizuri au kibaya.

Uislamu wenyewe ni uongo, umejengwa kwenye uongo. Unadanganya kuwepo kwa Mungu. Huwezi kuthibitisha Mungu yupo. Quran ina contradictions kibao, hivyo si kitabu cha ukweli. Utasemaje Uislamu unataka mtu awe mkweli ikiwa Quran yenyewe imejengwa kwenye uongo?

Nakwambia hivi, Islamophobia ni irrational fear of Islam. Mtu akikwambia anachukia Uislamu kwa sababu unakandamiza wanawake, na unataka kuji impose kwa watu wote dunia nzima under some caliphate, hiyo ni rational fear, si phobia.
 
Umeshindwa kukanusha Mswidi halisi ni nani.

Ukinipa kashfa zote hizo, huo ni uhuru wako wa kujieleza na kuamini. Sasa mimi nitakuzuia vipi nikufanye usiamini unachoamini? Huo ni uhuru wako wa kikatiba na sehemu ya haki zako za kibinadamu.

Lakini dunia inayofuata mantiki itapima maneno yako kwa kumuangalia Kiranga, na kama maneno yako ya kashfa hayana msingi, itakupuuza tu.

Sasa mimi kwa nini nihamaki ikiwa maneno yako si ya kweli?

Waislamu wanamuabudu Mungu au wanaabudu msahafu?

Huoni kwamba ukikasirika kwa msahafu kuchomwa moto unaenda kwenye kuuabudu msahafu, unaenda kwenye ibada ya sanamu. Unakuwa unaabudu kitabu badala ya kumuabudu Mungu?

Kuheshimu imani na tamaduni za watu wengine ni pamoja na kuheshimu uhuru wa watu kuchoma vitabu wasivyovipenda. Wewe wakaushie tu, dunia itawahukumu kama wanafanya kitu kizuri au kibaya.

Uislamu wenyewe ni uongo, umejengwa kwenye uongo. Unadanganya kuwepo kwa Mungu. Huwezi kuthibitisha Mungu yupo. Quran ina contradictions kibao, hivyo si kitabu cha ukweli. Utasemaje Uislamu unataka mtu awe mkweli ikiwa Quran yenyewe imejengwa kwenye uongo?

Nakwambia hivi, Islamophobia ni irrational fear of Islam. Mtu akikwambia anachukia Uislamu kwa sababu unakandamiza wanawake, na unataka kuji impose kwa watu wote dunia nzima under some caliphate, hiyo ni rational fear, si phobia.
Okay kumbe kuhusu mfano wa maneno yangu kwako, ni dunia itapima, lakini kuhusu uislamu, wakina Kiranga wakisema ndiyo kweli, sasa kama wewe unaona uislamu ni uongo, ukiukaushia unafikiri ndiyo Mungu atapata nguvu? Hivi umejipa mamlaka ya kuwa wewe ndiyo mkweli na uislamu kuwa uongo kutoka kwa nani?
Kwani kwa upeo wa ufahamu wako nini tafsiri ya Mungu?
Ili Mungu awepo unataka aweje?
Na vipi umejiridhisha kuwa Mungu hayupo?
Nitajie vifungu vinavyomkandamiza mwanamke kwenye uislamu kwa ufahamu wako.
Kwani wewe ukiwa muislamu kuna kitu gani kitapungua kwako?
 
Mada za hivi wewe ndio huwa unashikilia usukani. Ni mwendo wa kuhoji tu

Contradictions in the Qur’an​

by Matt Slick | Dec 12, 2008 | Islam, World Religions
The Qur’an states that it is a perfect book preserved on tablets in heaven (Surah 85:21-22). If the Qur’an is a perfect book from Allah, then there shouldn’t be any contradictions in it. Of course, the Muslims will deny that any contradictions exist in the Qur’an, but they do. Some of the contradictions below could be debated, but some of them are clearly contradictions.
A contradiction occurs when one statement on a subject excludes the possibility of another. The first one here is a good example. In Surah 19:67, it states that man was created out of nothing. In 15:26, man is created from clay. Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.
All quotes from the Qur’an, unless otherwise specified, are from Yusuf Ali and can be found at the Qur’an online.
  1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?
    1. “Created man, out of a (mere) clot of congealed blood,” (96:2).
    2. “We created man from sounding clay, from mud moulded into shape, (15:26).
    3. “The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: “Be”. And he was,” (3:59).
    4. “But does not man call to mind that We created him before out of nothing?” (19:67, Yusuf Ali). Also, 52:35).
    5. “He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer! (16:4).
  2. Is there or is there not compulsion in religion according to the Qur’an?
    1. “Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from Error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy hand-hold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things,” (2:256).
    2. “And an announcement from Allah and His Messenger, to the people (assembled) on the day of the Great Pilgrimage, – that Allah and His Messenger dissolve (treaty) obligations with the Pagans. If then, ye repent, it were best for you; but if ye turn away, know ye that ye cannot frustrate Allah. And proclaim a grievous penalty to those who reject Faith,” (9:3).
    3. “But when the forbidden months are past, then fight and slay the Pagans wherever ye find them, and seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practice regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving, Most Merciful,” (9:5).
    4. Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued,” (9:29).
  3. The first Muslim was Muhammad? Abraham? Jacob? Moses?
    1. “And I [Muhammad] am commanded to be the first of those who bow to Allah in Islam,” (39:12).
    2. “When Moses came to the place appointed by Us, and his Lord addressed him, He said: “O my Lord! show (Thyself) to me, that I may look upon thee.” Allah said: “By no means canst thou see Me (direct); But look upon the mount; if it abide in its place, then shalt thou see Me.” When his Lord manifested His glory on the Mount, He made it as dust. And Moses fell down in a swoon. When he recovered his senses he said: “Glory be to Thee! to Thee I turn in repentance, and I am the first to believe.” (7:143).
    3. “And this was the legacy that Abraham left to his sons, and so did Jacob; “Oh my sons! Allah hath chosen the Faith for you; then die not except in the Faith of Islam,” (2:132).
  4. Does Allah forgive or not forgive those who worship false gods?
    1. Allah forgiveth not that partners should be set up with Him; but He forgiveth anything else, to whom He pleaseth; to set up partners with Allah is to devise a sin Most heinous indeed,” (4:48). Also 4:116
    2. The people of the Book ask thee to cause a book to descend to them from heaven: Indeed they asked Moses for an even greater (miracle), for they said: “Show us Allah in public,” but they were dazed for their presumption, with thunder and lightning. Yet they worshipped the calf even after clear signs had come to them; even so we forgave them; and gave Moses manifest proofs of authority,” (4:153).
  5. Are Allah’s decrees changed or not?
    1. “Rejected were the messengers before thee: with patience and constancy they bore their rejection and their wrongs until Our aid did reach them: there is none that can alter the words (and decrees) of Allah. Already hast thou received some account of those messengers,” (6:34).
    2. “The word of thy Lord doth find its fulfillment in truth and in justice: None can change His words: for He is the one who heareth and knoweth all, (6:115).
    3. None of Our revelations do We abrogate or cause to be forgotten, but We substitute something better or similar: Knowest thou not that Allah Hath power over all things?” (2:106).
    4. When We substitute one revelation for another,- and Allah knows best what He reveals (in stages),- they say, “Thou art but a forger”: but most of them understand not,” (16:101).
  6. Was Pharaoh killed or not killed by drowning?
    1. “We took the Children of Israel across the sea: Pharaoh and his hosts followed them in insolence and spite. At length, when overwhelmed with the flood, he said: “I believe that there is no god except Him Whom the Children of Israel believe in: I am of those who submit (to Allah in Islam). (It was said to him): “Ah now!- But a little while before, wast thou in rebellion!- and thou didst mischief (and violence)! This day shall We save thee in the body, that thou mayest be a sign to those who come after thee! but verily, many among mankind are heedless of Our Signs!” (10:90-92).
    2. Moses said, “Thou knowest well that these things have been sent down by none but the Lord of the heavens and the earth as eye-opening evidence: and I consider thee indeed, O Pharaoh, to be one doomed to destruction!” So he resolved to remove them from the face of the earth: but We did drown him and all who were with him,” (17:102-103).
  7. Is wine consumption good or bad?
    1. O ye who believe! Intoxicants and gambling, (dedication of) stones, and (divination by) arrows, are an abomination,–of Satan’s handwork: eschew such (abomination), that ye may prosper,” (5:90).
    2. (Here is) a Parable of the Garden which the righteous are promised: in it are rivers of water incorruptible; rivers of milk of which the taste never changes; rivers of wine, a joy to those who drink; and rivers of honey pure and clear. In it there are for them all kinds of fruits; and Grace from their Lord. (Can those in such Bliss) be compared to such as shall dwell forever in the Fire, and be given, to drink, boiling water, so that it cuts up their bowels (to pieces)?” (47:15).
    3. Truly the Righteous will be in Bliss: On Thrones (of Dignity) will they command a sight (of all things): Thou wilt recognize in their faces the beaming brightness of Bliss. Their thirst will be slaked with Pure Wine sealed,” (83:22-25).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom