Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri mkuu wa Sweden ameshtushwa na idadi kubwa ya watu wanaoomba kila siku kibali cha kufanya maandamano na kuchoma Quran na kuidhalilisha.

Waziri mkuu anasema idadi hiyo inaongezeka siku hadi siku na hivyo hajui nini kitatokea kama hii hali ikiendelea.

Tukumbuke hivi karibuni kumekua na matukio ya kuchoma Quran na kuidhalilisha hadharani nchini Sweden.
---

The Swedish prime minister, Ulf Kristersson, has said that he is “extremely worried” about the consequences if more demonstrations go ahead in which the Qur’an is desecrated, amid growing Muslim anger at a series of attacks on Islam’s holy book.

Attacks on the Qur’an in Sweden and Denmark have offended many Muslim countries, including Turkey, whose backing Sweden needs to join Nato – a goal of Stockholm’s after Russia’s invasion of Ukraine.

Kristersson told the Swedish news agency TT that further requests had been filed with police for permission to hold protests where desecration of the Qur’an was again planned.

“If they are granted, we are going to face some days where there is a clear risk of something serious happening,” he said. “I am extremely worried about what it could lead to.”

Sweden’s embassy in Baghdad was stormed and set on fire on 20 July by protesters angered by a planned Qur’an burning.

Kristersson said the decision whether to grant permission for the demonstrations was up to the police.

On Wednesday, Kristersson and other Swedish officials said the country had been the target of a disinformation campaign in which “Russia-backed actors” had attempted to damage the country’s image by implying it supported the burnings.

The minister for civil defence, Carl-Oskar Bohlin, said: “Russia-backed actors are amplifying incorrect statements such as that the Swedish state is behind the desecration of holy scriptures.”

Sweden’s security service, Sapo, has kept its assessment of the threat level at 3 on a scale of 5, signifying an “elevated threat” during the crisis, but its head said there had been a strong reaction to recent events. “Sweden has gone from being seen as a tolerant country to being seen as an anti-Islamic land,” Charlotte von Essen told reporters on Thursday.

Denmark and Sweden have said they deplore the burning of the Qur’an but cannot prevent it under rules protecting free speech.

Sweden has accused other countries – such as Russia – of manipulating the crisis to damage its interests and its effort to join Nato.

“In some countries there is a perception that the Swedish state is behind, or condones, this. We don’t,” the Swedish foreign minister, Tobias Billström, said on Thursday. “These are acts committed by individuals, but they do it within the framework of freedom of speech laws,” he said.

Billström said he had been in touch with the foreign ministers of Iran, Iraq, Algeria and Lebanon, among others, as well as the UN secretary-general about the current crisis. He said he would shortly be speaking to the secretary-general of the multinational Organisation of Islamic Cooperation.

The Swedish government is facing a difficult balancing act in defending far-reaching freedom of speech laws, while at the same time avoiding potential insult to Muslims.

Its position is not made easier by the anti-immigration Sweden Democrats party, whose support keeps the right-of-centre coalition in power, though it is not formally part of the government.

Members of the Sweden Democrats, the biggest party on the right, have repeatedly warned about the “Islamisation” of Swedish society and called for immigrants to adopt “Swedish” values.

Source: The Guardian
Wapewe tu vibari ila na vitabu vichapishwe kwa wingi
 
Waachane navyo, hawalazimishwi kuwa navyo.
Unajua adhabu ya kuacha uislamu ni kukatwa kichwa mpk kufa?
Walijua kuweka adhabu hiyo, kuweka sharia na mahakama ya kadhi la sivyo hata huko Uarabuni wangeachana na imani hii. Km kikundi cha kichawi,ukiingia, ukijitoa kwenye uchawi ni kuawawa.
 
Waache huo upumbavu, waishi kwa kuheshimu tofauti zilizopo kati yetu.

Hatuwezi wote dunia nzima kuwa wa-Kristo au wapagani
Kuna watu wapumbavu Duniani hapa kama Waislamu?
Tanzania wameshachoma makanisa,mara mbili,mara ya kwanza Mbagala,mara ya pili Zanzibar,je? Uliona wakristo wakiandamana?
Hawa watu hujiona wao ndo watu Bora na Dini Bora kuliko zote Duniani.
Acha Quran ichomwe moto,na ichomwe kabisa,mimi niliitumbukiza chooni
 
Kwani wakichoma Quran Allah anakufa?
Eti,shangaa na wewe ndugu yangu,hawa watu wanampigania Alaah wasiyemwona, wakristo MUNGU wao anajipigania mwenyewe,kwa sababu ana uwezo wa yote.
I think an Islamic Alah is the most weakest of all ndo maana wanamtetea
 
Eti,shangaa na wewe ndugu yangu,hawa watu wanampigania Alaah wasiyemwona, wakristo MUNGU wao anajipigania mwenyewe,kwa sababu ana uwezo wa yote.
I think an Islamic Alah is the most weakest of all ndo maana wanamtetea
Wakristo na Waislamu wote wanaamini uongo ule ule tu.
 
Raia wa Sweden wenyewe ndio hawa na mashabiki za kama zao.
IMG_20230730_211436.jpg
 
Unajua adhabu ya kuacha uislamu ni kukatwa kichwa mpk kufa?
Walijua kuweka adhabu hiyo, kuweka sharia na mahakama ya kadhi la sivyo hata huko Uarabuni wangeachana na imani hii. Km kikundi cha kichawi,ukiingia, ukijitoa kwenye uchawi ni kuawawa.
Bado ni maamuzi ya mtu, kuwa humo au la.
 
Yani Allah anashindwa kumpiga mtu radi hapo hapo mtu anapochoma Quran.

Dunia nzima tujue Allah hataki mchezo na kitabu chake?
Allah Ni mwingi wa rehema humpa pumzi hata mchawi na jambazi we unataka ue tu? Allah hufanya Jambo kwa sababu maalum
 
Huyo Allah yupo kweli? Mbona haishushii Gharika au moto hiyo sweden
Kwani unadhani gharika la nuhu lilikuja Mara moja Allah ana muda wake wote Ni viumbe wake kwanini aue? Atawapa adhabu akimua kwa muda wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom