Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,288
- 9,923
Ulinena vemaZa kuambiwa, changanya na zako.
Ulinena vemaZa kuambiwa, changanya na zako.
Juzi kati nimeona gari la kawaida limevishwa tairi za train linapita kwenye hiyo reli sikuelewa dhamira ilikuwa ni niniHayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza uongozi wa shirika la reli nchini TRC kwa kusimamia huo mradi huo unaotekelezwa na kampuni ya Yapi merkezi toka Uturuki na kwamba kwa sasa huo mradi kipande cha Dar mpaka Moro umekamilika kwa 91%.
Waziri mkuu amewatoa hofu watanzania kwa kueleza kuwa kazi chini ya rais mama Samia zinaendelea na miradi yote mikubwa itatekelezwa kwa manufaa ya umma.
Awali Masanja Kadogosa ambae ni mkurugenzi wa Trc alisema kuwa walitarajia mabehewa na vichwa vya treni kuwasili mwezi Julai mwaka 2021 au mapema zaidi.
Mpaka sasa kipande cha Dar mpaka pugu kimekwama kukamilika japokuwa ni kipande kifupi
Wanasiasa Aibu Hawana Wao Propaganda Tu Yaani Mpaka Kinyaa..SGR na Stieglers inatembelewa mara ngapi?
Treni imeota mbawaZa kuambiwa, changanya na zako.
Ulinena vema
Hiyo treni iko wapi?Kwa hiyo hautaki?
Majaribio tayari au?Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza uongozi wa shirika la reli nchini TRC kwa kusimamia huo mradi huo unaotekelezwa na kampuni ya Yapi merkezi toka Uturuki na kwamba kwa sasa huo mradi kipande cha Dar mpaka Moro umekamilika kwa 91%.
Waziri mkuu amewatoa hofu watanzania kwa kueleza kuwa kazi chini ya rais mama Samia zinaendelea na miradi yote mikubwa itatekelezwa kwa manufaa ya umma.
Awali Masanja Kadogosa ambae ni mkurugenzi wa Trc alisema kuwa walitarajia mabehewa na vichwa vya treni kuwasili mwezi Julai mwaka 2021 au mapema zaidi.
Mpaka sasa kipande cha Dar mpaka pugu kimekwama kukamilika japokuwa ni kipande kifupi
Walikuwa wanatamba kuwa hizi ni fweeedha zetu wenyeweTatizo hela ya kuunga unga hio
Sidhani, Waziri Mkuu amekuwa mwongo mwongo sana.
Tumeshaingia January 2022, bado bila bila...December Sasa Hivi Lakini Kimya
Daah! Nchi ngumu sana hiiTumeshaingia January 2022, bado bila bila...
Huyu mzee mwongo sana.Awe na hakika na hiki anachokinena? Awe makini asiingizwe chaka tena