ungepanda juu ya bati ukajisaidia haja kubwa kuonesha hasira yako badala ya kugombana na keyboard kama hivi utaishia kupata kisukari
Kama ni hivyo basi ungeanza kwanza kuwashauri chadema watenganishe KUB na Uwenyekiti wa chama, na hata pia waweke ukomo wa Uongozi ili wasije kung'ang'ania madarakani!
Huu ni ujinga mwingine tena, siyo Watanzania wote tunaohusika na ccm, by the way wanachama halisi wa ccm nchi nzima hawazidi millioni 2.
Hivyo basi mwenyekiti wa ccm ana haki ya kumteuwa mtu au watu anaowataka yeye.
Isitoshe huko ccm kati ya vijana na wazee, nakuhakikishia wazee ndio wenye akili za ujana ña vijana wenyewe walishazeeka akili siku nyingi tu, ujana wao umebaki katika makasha ya mwili tu.
Hili halipaswi kuwa hivyo; shughuli za CCM zisemwe na CCM; shughuli za serikali zisemwe na serikali. Mwesiga anatoa taarifa kama nani? Yeye siyo msemaji wa Mwenyekiti wa CCM...
Pumabavu huyu mtoa taarifa! Yaani uteuzi wa chama lazima utolewe taarifa na kurugenzi ya mawasiliano ya Rais? Huu ni ujinga,, ameshindwa nini kumwachia Pole pole? Matumizi mabaya ya raslimali za walipa kodi!Sio rais
Mwenyekiti wa chama
Atanyenyekea tu. Nafasi yenyewe kapewa kwa vile katika ziara yake ya wili tatu zilizopita mkoani Makongoro alipewa nafasi ya kusalimu akamfananisha Magu na Baba yake. Magu was tickled by that.
Hongereni wateule wote.
Watu wanahaki kabisa kusema weledi wa Msigwa ni wa kutilia shaka kabisa.Hili halipaswi kuwa hivyo; shughuli za CCM zisemwe na CCM; shughuli za serikali zisemwe na serikali. Mwesiga anatoa taarifa kama nani? Yeye siyo msemaji wa Mwenyekiti wa CCM...
Mimi nimeangalia nikasikitika sana.Nadhani dhana ya chama kushika hatamu na zama tulizopo haijaeleweka
Shughuli za serikali na za chama ni tofauti kwa mujibu wa mfumo wa siasa uliopo
Sina uhakika kama kutumia nembo ya barua za serikali kwa mambo ya chama ni sahihi!
Unaifahu ile methali isemayo...."Nyani haoni? Jibu...... ni... kundu lake!!!hahaaa we jamaa ni mweupe sana ..uko shallow mno mkuu
Kubali tu kuwa we mweupe...Unaifahu ile methali isemayo...."Nyani haoni? Jibu...... ni... kundu lake!!!
Inakuhusu