habari ndeeeefu inachosha tu
Bora mwnzangu umesema...mi nikajua pnd kawa nduli kwa mara nyingine tena ....halafu mbona watoto wa diwani kama wavutabangi furani hivi....wazururaji
hujalazimishwa kuisoma.
Nikadhani kuna Jukwaa la Photoshop limeanzishwa!!! Huyu Diwani alikuwa ''mbabe'', mchawi na katili, alijipambanua hivyo na kila mtu alijua hivyo. Sasa uliza Pinda alitoa ''sifa zipi za marehemu''
Halafu hao watoto wa huyo diwani wamekaa kimauaji mauaji....Wwnaonesha ni vibaka wazoefu..
Nikadhani kuna Jukwaa la Photoshop limeanzishwa!!! Huyu Diwani alikuwa ''mbabe'', mchawi na katili, alijipambanua hivyo na kila mtu alijua hivyo. Sasa uliza Pinda alitoa ''sifa zipi za marehemu''
halafu mtiririko wa picha nao umekaa kikada sema kada wa ccm pinda akiwapa pole vibaka
Sijapata kuona mshamba kama huyu Diwani wa CCM Iringa mjini anayeitwa Msambatavanu tena anamiliki international school na duka la kubadilisha pesa za kigeni. Lakini kwenye taratibu za kutangulizana hana. Hakustahili kukaa katikati ya Waziri Mkuu Pinda na mkewa Tunu Pinda. Hawa CCM utafikiri hada darasa tu hawakupitia. Kuna siku Mama Tunu Pinda atamfinya tu asizoee kuingilia kati kiulaini mtu wake hivyo.
Sio kosa lako kufikiri hivyo bali ni kosa la wale walio ku-brainwash kufikiri hivyo.Kwenye kifo magamba huwa mna nidhamu kweli,mnakuwa wapole kweli,mimi nilifikiri kifo ni kwa ajili ya wana CHADEMA tu???Eti hapo sasa mnakumbuka tuko njia moja!!??
Sio kosa lako kufikiri hivyo bali ni kosa la wale walio ku-brainwash kufikiri hivyo.
Hivi kweli Pinda naendaga kanisani? Hapo Dar ni parokia gani aliyekuwa anasali? Je majina ya watoto wake mbona hatuyajui? maaan wakati wa Chama chashika hatamu, viongozi wengi sana waliokuwa ndani ya system waliacha kusali.
ukomunisti umekufa lakini PInda bado anaulilia. Tazama hiyo suti la kikomunisti la kirusi na kora yake. suti zilizolaaniwa na mungu mpaka akauuuwa ukomunisti leo hii Pinda bado anaivaa!