Waziri mkuu kwenye ziara.!!

Waziri mkuu kwenye ziara.!!

Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
Ilibidi akamatwe na polisi kwa kuvunja sheria ya usalama majini.
 
a43a1036d7adc1a831cdce496e121fbb.jpg
Hiyo tarehe kulia chini kwenye kona ingawa imekatwa inatia mashaka
 
Watanzania tunapoteza kumbukumbu Sana.

Sijui tuna tatizo gani haswaaaaaaaa
 
Body guard anajua nin anafanya musidhan kakaa tu pale.... uyo body guard ni multi task anacheza nyanja zoote... majini mpaka hangani.... musiwe na shaka na tusikosoe saaana km sie ndo kila kitu
Hangani =Angani
Shule za kata sijui kuna nini huko
 
Hapa kazi Tu

Mungu awabariki sana mashujaa wetu wa awamu ya Tano.

Wenye roho za korosho chadema mioyo inawauma kweli kweli
 
H
Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
Hatari zaidi hata ya ndoto ya Lema.
entertainment-jest-dictator-dictatorship-leadership-leadership_styles-aton3981_low.jpg
 
Back
Top Bottom