farangafotoo
Member
- Jan 4, 2017
- 12
- 2
Maji madogo hayo so usiogope kesha koga sana mtoni huyo anauzoefu nzuri tuZiara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
hahahahaha what a transport? Hii sijui kiusalama ipo vipi? Labda niwe nakimbia vita ndiyo nitatumia huo usafiri.
Ha ha ha haaaaaaaaaMara utikisike bahati mbaya
Mkuu nakubaliana na wewe mia kwa mia na ingefaa hao wanaohusika na usalama wa PM wawajibishwe. Wao ni wataalamu wa mambo ya usalama, walipaswa kumkatalia na akiwa kinganganizi angalau wangepunguza idadi ya abiria.Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
Hivi bado anakumbuka kuegelea?Hao mabody guard wake hawakuliona hili kweli, maana nao hawakuwa na wasiwasi kabisa!
Mkuu una pointiMkuu nakubaliana na wewe mia kwa mia na ingefaa hao wanaohusika na usalama wa PM wawajibishwe. Wao ni wataalamu wa mambo ya usalama, walipaswa kumkatalia na akiwa kinganganizi angalau wangepunguza idadi ya abiria.
PM ajiandae kujibu maswali magumu ya papo kwa papo bunge lijalo.
Duhh, mzaliwa wa Nndagala, Ruangwa ya enzi zile ashindwe kupanda Mtumbwi!! Nitamshangaa sana.utaanza kusikia ooh pm mzalendo, kumbe mtu hajawahi kupanda mtumbwi ndo anatolea ushamba hapo!