Waziri mkuu kwenye ziara.!!

Waziri mkuu kwenye ziara.!!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,180
Reaction score
24,798
a43a1036d7adc1a831cdce496e121fbb.jpg
 
Hivi wale wa the comedy walihamia TBC?
 
Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
umefanya vyema kumtetea unfortnatly yeye halijui hilo
 
Mbona humo kama waliingia kupiga picha tu, Nimefurahi na kumwona Prof Mwandosya.
 
Ziara ni sawa sana.
ISIPOKUWA usalama wa PM usiwe compromised AT ALL kwa kumwingiza mtumbwini BILA LIFE JACKET shingoni ili kufanya PHOTO SESSION.
Hilo ni KUHATARISHA maisha yake.
Na halina majadiliano!
Hao mabody guard wake hawakuliona hili kweli, maana nao hawakuwa na wasiwasi kabisa!
 
Huo ulikuwa uzinduzi wa mv sa$@%€¥£
 
Back
Top Bottom