Waziri Mkuu kukutana na madaktari kesho

. No body is indispensable!.

Kulingana na thefreedictionary.com

in·dis·pens·a·ble (
ibreve.gif
n
lprime.gif
d
ibreve.gif
-sp
ebreve.gif
n
prime.gif
s
schwa.gif
-b
schwa.gif
l)adj.

1. Not to be dispensed with; essential.
2. Obligatory; unavoidable: the routine but indispensable ceremonies of state.

n. One that is indispensable.

Sasa hapa sijakuelewa ulikuwa unaimanisha nini???? sijakuelewa kabisa

Ama ulitaka kuandika Nobody is irrepleceable???? Wakati mwingine tuenzi Kiswahili kama Kiingereza ni Mgogoro.
 
Mkuu Ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza Tambaza na C ya Math B ya Biology na C ya Kemia!. Hivyo sukufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosasifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kina wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi kama mimi tulikuwa na uwezo mzuri tuu wa kuwa madaktari ila kwetu udaktari sio dili then na sio dili mpaka kesho!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by Jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.

mkuu punguza munkari, unapaswa kuheshimu kazi ya mwenzio, kazi ya udaktari inapwaswa kuheshimiwa, si kazi yakuweza kupokea bahasha km kazi yako. mimi sio daktari lakini naheshimu kazi yao km wao wanavyoheshimu kazi yangu ya usanifu majengo, naheshimu kazi yako pia. pamoja na kufauli PCB labda uliogopa kusoma udaktari kwa hofu ya ugumu wa kazi leo unajitetea eti udaktari sio dili, loh! pasco mkuu, usijishushe sana.
 
mkuu ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza tambaza na c ya math b ya biology na c ya kemia!. Hivyo sukufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosasifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kina wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi kama mimi tulikuwa na uwezo mzuri tuu wa kuwa madaktari ila kwetu udaktari sio dili then na sio dili mpaka kesho!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.

haa haa haaaa kama ni sawa na watumishi tu wengine kwanini bot, tra, nssf nk wanapata preferential treatment, watu wanakaa darasani miaka sita, hospitalini almost 36 hrs, nfumo wa utumishi lazima ubadilike kabisa hao tra, bot wabunge ni nani katika nchi hii?? Tulionyeshwa kiapo cha madaktari hapa jamvini, wanahitaji utulivu katika maisha ili waweze kutenda kazi zao. Utulivu wataupata kwa kuhangaikia mahala pa kulala? Posho ya elfu kumi kwa masaa 24 kinyume cha sheria cha half per diem.

Sijui kwanini tunapenda kuwa sympathetic na serikali ambayo haina uchungu kabisa na wananchi wake. Viongozi wamejaa viburi na ubabe, hebu wamkumbuke baba wa taifa uongozi ni uwajibikaji kwa wananchi selflessly na siyo kuchumia tumboni kama ilivyosasa!!! Inashangaza kupata uongozi kwa sasa hivi ni kupata ulaji kwa mhusika, hii tanzania ni ya kwetu sote, si kwa ajili ya wateule wachache. Viongozi wetu wanatakiwa walielewe hili na kuwajibika kwa wananchi, kwani ni mgawanyo tu wakazi wengine wakawa bot, tra polisi nk kinachotakiwa ni fair play that is all
 
sasa wewe unadhani tunasoma udaktari kwa credit za o-level?? Ungeenda kusoma advance PCB alafu ndo ungeona kama uwezo upo au vp??
weka na matokeo ya physics basi.
Mkuu Guyton, Physics nilipiga C as well ila pia nilikuwa na A ya siasa!. Kosoma science ndio ilikuwa family demand, mimi mwenyewe nilipenda kusoma sheria, O-Level nilifaulu vizuri zaid combi za science pali nili prefer arts na nikaenda Ilboru, ile foolish age na mizengua ya mji wa Arusha, nikakosa 1st Class na nikakosa sheria!. Nika opt journalism, na kwa vile ambition ya mwanzo ilikuwa ni kufanya LL.B, then nikafanya hiyo LL.B for the fan of it, now still doing journalism just for the love of it hivyo udakitari sio dili kabisa!

Nakubali madakitari ni fani ya heshima ila pia ni fani ya wito, kama wito wa hawa madaktari wetu ndio huu, naunga mkono wasipotokea kikao cha leo, let them be fired wakaupeleke wito wao huko kwenye pesa nene!
 
Mkuu Ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza Tambaza na C ya Math B ya Biology na C ya Kemia!. Hivyo sikufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosa sifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kuna wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi mimi nikiwa mmoja wao, kwetu sisi udaktari sio dili then na sio dili now na labda hata mpaka kesho, udaktari hautakuwa dili bongo!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by Jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.
!.
kwa C ya kemia huwezi kukubaliwa kuingia muhimbili kusoma udaktari.halafu tutajie matokeo yako ya physics.
wewe unaonyesha una matatizo sana.ningekuona una akili iwapo ungesoma udaktari halafu ukawa mwandishi wa habari za afya(medical correspondent) bahati mbaya ulikosa criteria ya kusoma udaktari.
 
Kiche, 48hrs zangu zingeanza Jana Ijumaa kama angekutana nao ila zinaisha Jumatatu saa 2 asubuhi!. Wewe usubirie huo moto wa leo kesho ni kazi tuu!.

Mkuu Pasco kiukweli inaonekana unaombea mno serikali iwatimue maDR by tommorow!
 
Mkuu Guyton, Physics nilipiga C as well ila pia nilikuwa na A ya siasa!. Kosoma science ndio ilikuwa family demand, mimi mwenyewe nilipenda kusoma sheria, O-Level nilifaulu vizuri zaid combi za science pali nili prefer arts na nikaenda Ilboru, ile foolish age na mizengua ya mji wa Arusha, nikakosa 1st Class na nikakosa sheria!. Nika opt journalism, na kwa vile ambition ya mwanzo ilikuwa ni kufanya LL.B, then nikafanya hiyo LL.B for the fan of it, now still doing journalism just for the love of it hivyo udakitari sio dili kabisa!

Nakubali madakitari ni fani ya heshima ila pia ni fani ya wito, kama wito wa hawa madaktari wetu ndio huu, naunga mkono wasipotokea kikao cha leo, let them be fired wakaupeleke wito wao huko kwenye pesa nene!

dah! unazidi kupotoka, hapa pia na serikali ndipo inapozidi kupotoka, nakumbuka naibu waziri wa elimu alishawahi kuwaambia walimu kuwa kazi yao ni wito, km hawaipendi watafute kazi nyingine, majibu mepesi sana pasco mkuu.
 
Mkuu Guyton, Physics nilipiga C as well ila pia nilikuwa na A ya siasa!. Kosoma science ndio ilikuwa family demand, mimi mwenyewe nilipenda kusoma sheria, O-Level nilifaulu vizuri zaid combi za science pali nili prefer arts na nikaenda Ilboru, ile foolish age na mizengua ya mji wa Arusha, nikakosa 1st Class na nikakosa sheria!. Nika opt journalism, na kwa vile ambition ya mwanzo ilikuwa ni kufanya LL.B, then nikafanya hiyo LL.B for the fan of it, now still doing journalism just for the love of it hivyo udakitari sio dili kabisa!

Nakubali madakitari ni fani ya heshima ila pia ni fani ya wito, kama wito wa hawa madaktari wetu ndio huu, naunga mkono wasipotokea kikao cha leo, let them be fired wakaupeleke wito wao huko kwenye pesa nene!


hiyo LLB ulipata grade gani na thesis yako nani alikuandikia??? kwanini uliacha kazi serikalini?? kwa kuwa siyo wote wanaweza kuacha kazi serikalini basi wakae kimya na kunywa chloroquine NO NO NO, No
 
Kulingana na thefreedictionary.com

in·dis·pens·a·ble (
ibreve.gif
n
lprime.gif
d
ibreve.gif
-sp
ebreve.gif
n
prime.gif
s
schwa.gif
-b
schwa.gif
l)adj.

1. Not to be dispensed with; essential.
2. Obligatory; unavoidable: the routine but indispensable ceremonies of state.

n. One that is indispensable.

Sasa hapa sijakuelewa ulikuwa unaimanisha nini???? sijakuelewa kabisa

Ama ulitaka kuandika Nobody is irrepleceable???? Wakati mwingine tuenzi Kiswahili kama Kiingereza ni Mgogoro.
Mkuu Masa, vipi unadhani ni lugha gongana?. Hapana, no its just no one is indispensable!.
 
kwa C ya kemia huwezi kukubaliwa kuingia muhimbili kusoma udaktari.halafu tutajie matokeo yako ya physics.
wewe unaonyesha una matatizo sana.ningekuona una akili iwapo ungesoma udaktari halafu ukawa mwandishi wa habari za afya(medical correspondent) bahati mbaya ulikosa criteria ya kusoma udaktari.

Jackbauer!

Huyu Pasco wa JF aka PM ni mtu wa kujikuza sana hata pasipo stahiri sijui ni msukuma wa aina gani huyu homeboy. Hakuwa na sababu yeyote kuonyesha yeye alikuwa kipanga wa O level kupata karai kama anaukweli. Huko nyuma aliwahi bishana na jukwaa hili eti alidisco UD lakini akamaliza degree ya sheria lol! Amepoteza maana kwangu ameamua kuwa kwenye propaganda bila kujua JF kuna watu wenye kuona nyuma ya keyboard.
 
Ili kutuliza hali ya mambo ni vizuri waziri,naibu wake na katibu wa wizara wakaachia nafasi zao. Hii itasaidia kupunguza jazba za madaktari.
Hatua ya pili Pm anafaa kuelewa kuwa hii ni jambo nzito na busara inafaa kutumika hasa hasa madai yaliyopo si mambo ya kumalizwa au kutendewa hapo kwa hapo,hivyo kuna haja ya wawakilishi wa madaktari na Pm kufanya majadiliano behind Closed door katika hatua hizi za mwanzo iikujenga kuaminiana kabla ya kuja public.
Inaeleweka wazi kuwa wafanyakazi wa taasisi nyingi za umma wanamadai mengi na ya msingi kwa serikali hivyo kuna haja ya kukubaliana kimya kimya kila taasisi kutumia uwezo wake wa kujadiliana na kuafikiana kwa njia ya majadiliano yaliyoukweli mtupu lakini kwa njia ya wawakilishi.
 
hiyo LLB ulipata grade gani na thesis yako nani alikuandikia??? kwanini uliacha kazi serikalini?? kwa kuwa siyo wote wanaweza kuacha kazi serikalini basi wakae kimya na kunywa chloroquine NO NO NO, No
Juma123, LL.B yangu ni ya UDSM, nina Lower Second and the gate is open for LL.M lakini pia kama ilivyo medicine kwangu, LL.M pia sio dili. Hivi kumbe vyuo vingine thesis unaandikiwa?, mimi thesis yangu niliandika mwenyewe, Supervisor wangu ni Prof. Palamagamba Kabudi!.

Serikalini I got fired!, why, na ni thesis ya nini sio issue za mada husika!, naombeni sasa tuendeleeni na mada!.
 
Mkuu Ozzie, kwa kukusaidia tuu, nimemaliza Tambaza na C ya Math B ya Biology na C ya Kemia!. Hivyo sikufanikiwa kuwa daktari sio kwa kukosa sifa ama uwezo, bali by choice!. Najua kuna wengi wanauzimia udaktari lakini hawana uwezo nao, lakini pia nakuhakikishia kuna wengine wengi mimi nikiwa mmoja wao, kwetu sisi udaktari sio dili then na sio dili now na labda hata mpaka kesho, udaktari hautakuwa dili bongo!.

Nasisitiza tena na tena, madai ya madaktari ni genuine ila sasa wanavimba vichwa!. Kwangu mimi madaktari ni watumishi tuu kama watumishi wengine wa umma, no preferential treatment kwao as if they are very special!. Wao ni watu, walimu pia ni watu na watumishi wengine wa serikali ni watu pia!. Pinda leo awaene na kuwaamuru warudi kazini by Jumatatu asubuhi kinyume cha hapo, they get fired!. No body is indispensable!.
!.

Pasco,
Hizo ni pass mark za combination ya PCB au za O'level? Kama ni za O'level, bora usiseme sana maana nakuhakikishai ile miaka miwili ya A'level siyo rahisi kama unavyodhani. PCB ni moja ya combination ngumu sana especially kwa miaka ile tuliyosoma, so respect these guys...by the way, kama kusoma udaktari ni rahisi hivyo why the number of students taking the subjects dwindles everyday?
Dunia nzima sasa hivi kuna crisis ya madaktari. Tusidharau wanayosema maana yanabeba uzito fulani hivi. Ukiwa mbunge tu ndio posho inakwenda fasta fasta...ukiwa mwandishi wa habari bahasha nazo zinaenda fasta fasta...wao wakale wapi? kwa wagonjwa maskini wanaokwend akwenye hospitali za umma? Maana wenye uwezo wanaenda Apollo siku hizi.
 
Jackbauer!

Huyu Pasco wa JF aka PM ni mtu wa kujikuza sana hata pasipo stahiri sijui ni msukuma wa aina gani huyu homeboy. Hakuwa na sababu yeyote kuonyesha yeye alikuwa kipanga wa O level kupata karai kama anaukweli. Huko nyuma aliwahi bishana na jukwaa hili eti alidisco UD lakini akamaliza degree ya sheria lol! Amepoteza maana kwangu ameamua kuwa kwenye propaganda bila kujua JF kuna watu wenye kuona nyuma ya keyboard.
Halafu ni makosa makubwa sana kushangilia kalai za O'Level na kufikiri A'level ni rahisi kiasi hicho. PCB ni combination ngumu sana na yeyote aliyesoma science anajua hilo. Tusidharau fani za watu wakati sisi wenyewe hatuna fani inayoeleweka. Tunakaa mjini kimtindo mtindo tu...kwa huruma za watoa bahasha, lol!
 
Jackbauer!

Huyu Pasco wa JF aka PM ni mtu wa kujikuza sana hata pasipo stahiri sijui ni msukuma wa aina gani huyu homeboy. Hakuwa na sababu yeyote kuonyesha yeye alikuwa kipanga wa O level kupata karai kama anaukweli. Huko nyuma aliwahi bishana na jukwaa hili eti alidisco UD lakini akamaliza degree ya sheria lol! Amepoteza maana kwangu ameamua kuwa kwenye propaganda bila kujua JF kuna watu wenye kuona nyuma ya keyboard.
Rev, ku disco ni aibu ndio maana watu huwa hawathubutu kusema, nikweli nilidisco 2nd year na nilisema wazi kwa sababu sio kila anae disco ni kilaza!. Ku ma disco kibao ni technical!. Sijajikweza baba, ningejikweza ningesema mimi nafanya nini sasa, nafanya kazi wapi, nakunja fungu gani, naishi wapi, natumia usafiri gani etc, you are free kunitembelea kule facebook yangu uone jinsi nilivyomwaga data zangu na mapicha kibao ya nchi nilizotembelea na marais nilipiga nao picha ili watu waone!.

Maadam Mkuu Masa umesema nilizungusha karai, haya nimekubali nilizungusha karai, haya sasa naomba tuendelee na mada!.
 
Halafu ni makosa makubwa sana kushangilia kalai za O'Level na kufikiri A'level ni rahisi kiasi hicho. PCB ni combination ngumu sana na yeyote aliyesoma science anajua hilo. Tusidharau fani za watu wakati sisi wenyewe hatuna fani inayoeleweka. Tunakaa mjini kimtindo mtindo tu...kwa huruma za watoa bahasha, lol!

With due respect,

Sifa moja wapo ya Kilaza ni
1.kujikuza na kujisifia
2. Kuonyesha yuko sahihi na wengine ni garasha
3. Kupenda Kuonyesha uwezo uliotukuka Kilaza mara zote atakuambia mimi O Level nilipata A ama B na sikutaka kufanya kitu fulani. Ila ukiangalia kwa makini mtu huyo lazima atakuwa alipata D ama F.
4. Dharau kwa fani za wengine kuziona si dilli
5.
6.

10.

Mnaweza kuongezea

Ukiangalia kwa undani hili si tatizo la wizara ya Afya, shida iko hazina hakuna fedha serikali inaendeshwa kama zima moto. Migomo mingi inakuja, siwezi shangaa waalimu nao wakaweka silaha chini. Tuache propaganda tujadili hoja
 
With due respect,

Sifa moja wapo ya Kilaza ni
1.kujikuza na kujisifia
2. Kuonyesha yuko sahihi na wengine ni garasha
3. Kupenda Kuonyesha uwezo uliotukuka Kilaza mara zote atakuambia mimi O Level nilipata A ama B na sikutaka kufanya kitu fulani. Ila ukiangalia kwa makini mtu huyo lazima atakuwa alipata D ama F.
4. Dharau kwa fani za wengine kuziona si dilli
5.............................................
6.

10.

Mnaweza kuongezea

Ukiangalia kwa undani hili si tatizo la wizara ya Afya, shida iko hazina hakuna fedha serikali inaendeshwa kama zima moto. Migomo mingi inakuja, siwezi shangaa waalimu nao wakaweka silaha chini. Tuache propaganda tujadili hoja
5. usahaulifu
6. tamaa
 
Naona wakuu (Pasco et al) mnatoka kwenye mstari kabisa, turudi kwenye mada husika basi.
Hicho kikao/mkutano kati ya madaktari na PM umefanyika au imekuwaje? Mwenye taarifa atujuze
 
Rev, ku disco ni aibu ndio maana watu huwa hawathubutu kusema, nikweli nilidisco 2nd year na nilisema wazi kwa sababu sio kila anae disco ni kilaza!. Ku ma disco kibao ni technical!. Sijajikweza baba, ningejikweza ningesema mimi nafanya nini sasa, nafanya kazi wapi, nakunja fungu gani, naishi wapi, natumia usafiri gani etc, you are free kunitembelea kule facebook yangu uone jinsi nilivyomwaga data zangu na mapicha kibao ya nchi nilizotembelea na marais nilipiga nao picha ili watu waone!.

Maadam Mkuu Masa umesema nilizungusha karai, haya nimekubali nilizungusha karai, haya sasa naomba tuendelee na mada!.


Homeboy

This is very low again, be yourself.....kupiga picha na maraisi na kutembelea nchi kibao kwangu mimi si tija. Huku ni kujikuza ninakokuzungumzia, mimi kukutana na maraisi hainifanyi nisihoji your integridity and intellectual thinking yako. By the way ni rafiki yako FB. Ila usijikuze na kulazimisha hoja, wakati mwingine ni vyema ukaacha kuchangia kama point zimeisha. Haya bwana mkuu ninaungana na Madr kwa obvious reasons...serikali iheshimu rare professionals si kila mtu anaweza kuwa Dr ila kila mtu anaweza kuwa mwandishi wa habari.
 
Pasco,
Hizo ni pass mark za combination ya PCB au za O'level? Kama ni za O'level, bora usiseme sana maana nakuhakikishai ile miaka miwili ya A'level siyo rahisi kama unavyodhani. PCB ni moja ya combination ngumu sana especially kwa miaka ile tuliyosoma, so respect these guys...by the way, kama kusoma udaktari ni rahisi hivyo why the number of students taking the subjects dwindles everyday?
Dunia nzima sasa hivi kuna crisis ya madaktari. Tusidharau wanayosema maana yanabeba uzito fulani hivi. Ukiwa mbunge tu ndio posho inakwenda fasta fasta...ukiwa mwandishi wa habari bahasha nazo zinaenda fasta fasta...wao wakale wapi? kwa wagonjwa maskini wanaokwend akwenye hospitali za umma? Maana wenye uwezo wanaenda Apollo siku hizi.
Mkuu Ndahani, naamini hakuna binaadamu yoyote mwenye akili timamu, anayeweza kumdharau daktari!. Mimi sijamdharau daktari ila nimesema fani ya udaktari kwangu sio dili!. Kuna watu wanatamani sana kuchaguliwa kuwa wakuu wa wilaya, lakini kuna wengine, mimi nikiwa mmoja wao, ukuu wa wilaya sio dili!. Tunamashabiki kibao wa siasa humu jukwaani, wengine ni wapambe, manazi na wanachama kabisa wa vyama vya siasa, kwao uanachama wa chama fulani ni dili, kwangu uanachama wa chama chochote cha siasa sio dili. Kuita sio dili, haina maana ni kudharau, hapana!.

Nakubaliana na wewe kuwa kufanya vizuri masomo ya science O-Level sio passport ya kupata MD, hilo nimelishuhudia kwa vipanga wetu wawili toka primary, walitua Mhimbili baada ya kufumua 1 za point 3 za PCB A-level, mmoja safari yake iliishia mwaka wa pili na mwingine alipiga kidogo mark time!. Hili halina ubishi.

Tukirudi kwenye mada, madaktari wetu, pamoja na umuhimu wote walionao kwa jamii yetu, pamoja na genuinity yote ya madai yao, lazima wawe reasonable kuipa serikali ample time ya kuyafanyia kazi madai hayo. Hakuna jibu la yes au no, yanatakiwa kufanyiwa upembuzi yakinifu ili utekelezaji wake uendane na uhalisia wa hali yetu ya uchumi!.

Wabunge wameshajiweka wao ni supper class, sasa na madaktaria wanafuatia, serikali ikuwakubalia kichwa kichwa, kila sekta itahitaji hiyo preferential treatment ndio maana mimi nimeshauri madakitari wasikilizwe ila nao pia na wao wasikilize na kutii amri halali, kinyume cha hapo, let them get fired, kazi zitangazwe na amini nakuambia miongoni mwao hao hao wataomba kwa masharti yale yale waliyogomea, na this time, there will be no room ya kugoma, ukiona huwezi, unaachia ngazi na kuwaachia wanaoweza!.
 
Back
Top Bottom