Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Takwimu za tafiti za saikolojia ya ubongo, concentration na intelligence zinaonesha kwamba dereva aliyeshikilia usukani kwa both hands ana additional advantage kubwa ya 27% zaidi katika kudumisha utulivu na umakini and hence less likely kuencounter accident as compared to wale wanaotumia mkono mmoja, hata kama mkono mwingine umetulia tu mahali hauko busy kwa vitu vingine.Naona wanapishana kukagua kila Siku! Juzi katibu wa wizara, ndani ya siku mbili naibu, ndani ya siku mbili tena kaenda mkurugenzi! Duuuuuuuh hadi mradi ukamilike mtakuwa mmeenda mara mia nne.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Well said, ila wachache watakuelewaTakwimu za tafiti za saikolojia ya ubongo, concentration na intelligence zinaonesha kwamba dereva aliyeshikilia usukani kwa both hands ana additional advantage kubwa ya 27% zaidi katika kudumisha utulivu na umakini and hence less likely kuencounter accident as compared to wale wanaotumia mkono mmoja, hata kama mkono mwingine umetulia tu mahali hauko busy kwa vitu vingine.
Kubuka wanachoma mafuta na kulipana per diemNaona wanapishana kukagua kila Siku! Juzi katibu wa wizara, ndani ya siku mbili naibu, ndani ya siku mbili tena kaenda mkurugenzi! Duuuuuuuh hadi mradi ukamilike mtakuwa mmeenda mara mia nne.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Hama nchi kama linakuchoma..Hivi huwa mnasikia raha tu kutaja neno βfedhaβ za ndani!
Hama nchi kama linakuchoma..
Mnasikia wewe na nani? Mmeo?Kila siku tunashuhudia mkipokea misaada ya mabeberu halafu miradi mnailebo eti fedha za ndani, shame!
Ndio ni za ndani. Kwani ukikopa kisha ukaja kulipa hiyo ni pesa yako au ya mjomba au benki? Tumia akili?Hivi huwa mnasikia raha tu kutaja neno βfedhaβ za ndani!
Mnasikia wewe na nani? Na mimi mkeo?
Ndio ni za ndani. Kwani ukikopa kisha ukaja kulipa hiyo ni pesa yako au ya mjomba au benki? Tumia akili?
Kupiga pichaNaona wanapishana kukagua kila Siku! Juzi katibu wa wizara, ndani ya siku mbili naibu, ndani ya siku mbili tena kaenda mkurugenzi! Duuuuuuuh hadi mradi ukamilike mtakuwa mmeenda mara mia nne.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Anakupotosha kivipi, tatizo mnakariri. Ukikopa hiyo ni pesa yako. Kwa mfano kale kagari kako ulikonunua kwa mkopo wa benki ulitangaza kwa rafiki zako?Ukikopa weka wazi kuwa ni kwa mkopo, unaficha vitu kwa manufaa ya nani ikiwa unatupotosha walipaji?
Haiwezekani watu wote wakawa wapumbavu kama wewe.Ndio ni za ndani. Kwani ukikopa kisha ukaja kulipa hiyo ni pesa yako au ya mjomba au benki? Tumia akili?
Kwa hii falsafa uliyotumia hapa, unadhani hata yule uliyekuwa unamjibu naye pia atakuwa amekuelewa?Takwimu za tafiti za saikolojia ya ubongo, concentration na intelligence zinaonesha kwamba dereva aliyeshikilia usukani kwa both hands ana additional advantage kubwa ya 27% zaidi katika kudumisha utulivu na umakini and hence less likely kuencounter accident as compared to wale wanaotumia mkono mmoja, hata kama mkono mwingine umetulia tu mahali hauko busy kwa vitu vingine.
Hahahah, umemjibu vizuri, anasahau kwa mkopo si zawadi, mkopo maana yake unalipa tena na riba juu, kwahiyo si msaada, hivyo ni fedha za ndani πππNdio ni za ndani. Kwani ukikopa kisha ukaja kulipa hiyo ni pesa yako au ya mjomba au benki? Tumia akili?
Mnasikia wewe na nani? Mmeo?