Huyo sio mzima kichwani, waelewa wameishalitambua hilo hivyo wanampuuza.Ila nsumba ntale alikataza watu wa CCM kuwatembelea wapinzani wakipatwa na matatizo
Wewe Pascal ni mnafiki mkubwa why hukutoa hizo sifa kabla hajafa acha tabia za kujipendekezaHuu ndio utu, siasa sio uadui. Ndesamburo alukuwa mtu wa watu, ni Mzee mstaarabu sana. Katika uongozi wake sikumbuki kusikia maandamano yoyote Moshi wala misuguano isiyo ya msingi au kumuona akishiriki maandamano na migomo ya kijingajinga.
RIP Ndesamburo
Eid Mubarak.
P
Alikuwa wapi wakati wa msiba?
Kulijaa siasaAlikuwa wapi wakati wa msiba?
Maandamano na migogoro ya kijinga ni yapi? Acha kushadadia mambo weweHuu ndio utu, siasa sio uadui. Ndesamburo alukuwa mtu wa watu, ni Mzee mstaarabu sana. Katika uongozi wake sikumbuki kusikia maandamano yoyote Moshi wala misuguano isiyo ya msingi au kumuona akishiriki maandamano na migomo ya kijingajinga.
RIP Ndesamburo
Eid Mubarak.
P
Waungwana hawaulizi hivyoAlikuwa wapi wakati wa msiba?
DUH! HATA WEWE ULIKUWA MPINGAJI WA MAANDAMANO...Acha uhuni Mkuu, Maandamano ni misuguano ya kijingajinga?
hata juzi watu wameandamana, mbona hujakemea?
Hebu kuweni na utu jamani!!!
Sanamu ya Yesu siyo Sanamu la Yesu. We utakua msabato au mwislamu wa suruali fupiHivi Pasco ni Tahahira au anajipendekeza tu huwezi sema Maandamano ya kijinga kijinga vitu vilivyo kwenye katiba... pumbavu... Kuna Maandamano hadi ya kutembeza sanamu la Yesu kwa Roman Catholic nao ni ujinga? Acha dharau
Huyu PM mungu ampe maisha mrefu na baraka TeleView attachment 530963 View attachment 530965
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa akisalimiana na mjane Ndehorio Ndesamburo alipowasili nyumbani kwa marehemu aliyekuwa mbunge Mstaafu wa jimbo la Moshi mjini Philemon Ndesamburo kwaajili ya kitoa rambirambi
Maandamano ya kumpongeza magufuli ndio ya kijanja-Wasukuma mna shida sana!Huu ndio utu, siasa sio uadui. Ndesamburo alukuwa mtu wa watu, ni Mzee mstaarabu sana. Katika uongozi wake sikumbuki kusikia maandamano yoyote Moshi wala misuguano isiyo ya msingi au kumuona akishiriki maandamano na migomo ya kijingajinga.
RIP Ndesamburo
Eid Mubarak.
P
Umesoma alicho kiandika au umekurupuka kurupuuKuna maandamano ya kijingajinga?! Tuombe radhi mkuu.
Pascal ni mkabila sana na kila jambo likifanywa na msukuma mwenzie anamtetea iwe hadharani au kwamafumbo, ninaushahidi mwingi, ila akosee asie msukuma utasikia atakavyowaka!!!Sanamu ya Yesu siyo Sanamu la Yesu. We utakua msabato au mwislamu wa suruali fupi
Una hakika hajawahi kushiriki maandamano? Na ni maandamano yapi unayoyaita ya kijinga nasi tuyaelewe Pascal?Huu ndio utu, siasa sio uadui. Ndesamburo alukuwa mtu wa watu, ni Mzee mstaarabu sana. Katika uongozi wake sikumbuki kusikia maandamano yoyote Moshi wala misuguano isiyo ya msingi au kumuona akishiriki maandamano na migomo ya kijingajinga.
RIP Ndesamburo
Eid Mubarak.
P
Wahakikishie wananchi kama ni kweli au si kweli? Maandamano ya Sanamu ya Yesu... pia usisahau kusoma Kitabu cha Kutoka 20Sanamu ya Yesu siyo Sanamu la Yesu. We utakua msabato au mwislamu wa suruali fupi
Mwacheni Msukuma anasubiri uteuzi, kuna nafasi ya Afisa habari tff itatangazwa karibuni baada ya uchaguzi. Watu wengine wakizeeka ndo busara zinayeyuka.Wewe Pascal ni mnafiki mkubwa why hukutoa hizo sifa kabla hajafa acha tabia za kujipendekeza