nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
dah mkuu i was joking tu sikudhan km ni kitu serious hvyo!Katika watu niliokuwa nawaheshimu na wewe ulikuwepo lakini kadri siku zinavyoenda ndiyo nashindwa hata kuelewa ndiyo maana mpaka leo na kesho wanaolirudisha taifa hili nyuma ni nyie tunaowaita .wasomi.
1swal dogo tu nini kinacho sababisha maandamano ??? Ukinijibu kwa busara unaweza ukanishawishi na
Maandamano yako kikatiba???