Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,701
Ndege yetu vipi baba haijachubuka rangi, iliwekwa juani eti....ifunikwe basi hata na turubai wakati bado tunachanga hela ya kuikomboa.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waishio Canada wadumishe mshikamano wao na wawe na uzalendo kwa Taifa lao.
Ametoa wito huo jana Oktoba 31, 2017 wakati akizungumza na Watanzania waishio Toronto, Canada.
Waziri Mkuu ambaye yuko Canada kwa ziara ya kikazi, alisema kila Mtanzania anapaswa ahubiri utaifa wake.
"Tembea huku ukiringia nchi yako, wakati wote ringia nchi yako, unapotakiwa kuisemea nchi yako, iseme vizuri kama ambavyo wengine wanasema vizuri nchi zao licha ya matatizo waliyonayo".
Aliwataka wakumbuke kuweka akiba na wanapopata fursa watume fedha zao nyumbani ili zisaidie kuleta maendeleo.
"Ukipata kitu kidogo, rusha nyumbani, ukimpata mtu anayeweza kuleta tija, mlete nyumbani, nasi tutawapokea wewe na yeye", alisisitiza.
"Tunawasisitiza muitangaze nchi yenu kwa mataifa mengine ili nao waone kuwa Tanzania ni mahala pa fursa, na akitaka kuwekeza ajue kuwa anawekeza mahala ambapo ni salama", alisema Waziri Mkuu.
Huko canada wiki mbili ni kikazi au yuko busy na bombadierWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waishio Canada wadumishe mshikamano wao na wawe na uzalendo kwa Taifa lao.
Ametoa wito huo jana Oktoba 31, 2017 wakati akizungumza na Watanzania waishio Toronto, Canada.
Waziri Mkuu ambaye yuko Canada kwa ziara ya kikazi, alisema kila Mtanzania anapaswa ahubiri utaifa wake.
"Tembea huku ukiringia nchi yako, wakati wote ringia nchi yako, unapotakiwa kuisemea nchi yako, iseme vizuri kama ambavyo wengine wanasema vizuri nchi zao licha ya matatizo waliyonayo".
Aliwataka wakumbuke kuweka akiba na wanapopata fursa watume fedha zao nyumbani ili zisaidie kuleta maendeleo.
"Ukipata kitu kidogo, rusha nyumbani, ukimpata mtu anayeweza kuleta tija, mlete nyumbani, nasi tutawapokea wewe na yeye", alisisitiza.
"Tunawasisitiza muitangaze nchi yenu kwa mataifa mengine ili nao waone kuwa Tanzania ni mahala pa fursa, na akitaka kuwekeza ajue kuwa anawekeza mahala ambapo ni salama", alisema Waziri Mkuu.
Jibu swali, acha kujibaraguza!Inakuhusu nini wewe? Unafiq huo
Semeni kasema nini kuhusu bombadier?Ndege zimewauma sana!
Akiiongelea au asiiongelee bado haitakuwa na tija kwako,unawashwa niniJibu swali, acha kujibaraguza!
Bombadier imekamatiwa huko canada na yeye kaenda hukohuko! Iweje asiiongelee?
Tunaletewa na nani tena?Unfortunately not the stuff you would want to hear! All he said was, tunaletewa ndege nyingine nne. Apparently hizi zitakuwa za "International trips" kwenda kuwabeba watalii ..........
Alimpelekea mpunga wake wa kumalizia diliKumbe bado yupo Canada
Slaa alikuwepo hapo kwenye mkutano!!!
Nawashwa Kichwa "abdala kichwa wazi" vipi huduma ya mtandao pendwa unatoa?Akiiongelea au asiiongelee bado haitakuwa na tija kwako,unawashwa nini
Utakuwa unapumuliwa,manywele si kasema mmepata dume nya. La. Ndu, Fanya ujisogezeNawashwa Kichwa "abdala kichwa wazi" vipi huduma ya mtandao pendwa unatoa?
Mawasiliano weka hapa fasta.
Umeliamsha dude mwenye! kunipa huduma mbona unaanza chenga tena!Utakuwa unapumuliwa,manywele si kasema mmepata dume nya. La. Ndu, Fanya ujisogeze
mburukenge wewe,tundu lisu inamuhusu nini huo mfuzi aliojamba majaliwa,watanzania wako nchi za nje wanatuma pesa kila uchao tanzania yet bado serekali ya kihanisi inakataa uraia pacha,kenya wameruhusu uraia pacha ila tz ndo akili kunduni.Huu ujumbe uwafikie Zitto Kabwe na Tindu Lissu
Wasaliti wakuu
Itakua anabembeleza bombadier aichiweYuko kikazi kama ilivyo elezwa