wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,652
- 2,011
Akuna aliefanywa mpumbavu ila watu mnataka ubishi usio na msingi mnataka gesi ya tshs25000/= ifanane na ya tshs1000/= si utaahira huu?Wewe ni zaidi ya mpumbavu, acha kuona watu wote wajinga. Mwanzo uliposema gesi ya 1000 inatosha ulimaanisha nn? Sasa hivi unasema mtu anaweza kununua zaidi.
Mnafanya watu kama mandondocha sio?
Kama unamatumizi madogo mfano kupika chai,kupasha chakula,kikaanga mayai nk
Gesi imeisha na mfukoni una 1000 unaweza kununua na kuendelea na mapishi tusipenda kuwa Pinga Pinga hata kwa mambo yanayoonekana