Waziri Lukuvi ateua Wajumbe 7 wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa! Yumo Humphrey Polepole

Waziri Lukuvi ameteua wajumbe hao 7 wa bodi ya shirika la nyumba la taifa, leo Mei 20, 2019 siku chache baada ya Rais Magufuli kumteua Dr. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa bodi hiyo.

Wajumbe walioteuliwa ni,

1. Bi. Immaculate Senye
2. Bi. Sauda Msemu
3. Bw. Abdallah Mwinyimvua
4. Bw. Humphrey Polepole
5. Bw. Martine Madeke
6. Eng. Mwita Rubirya
7. Bw. Charles Singili

View attachment 1103317
Hii kasi ya huyu waziri naiona zaidi kwenye media ... Ila huku kitaa mambo yanaenda very slow ... as slow as snail ... sijui hii wizara inakwama wapi
 
Waziri Lukuvi ameteua wajumbe hao 7 wa bodi ya shirika la nyumba la taifa, leo Mei 20, 2019 siku chache baada ya Rais Magufuli kumteua Dr. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa bodi hiyo.

Wajumbe walioteuliwa ni,

1. Bi. Immaculate Senye
2. Bi. Sauda Msemu
3. Bw. Abdallah Mwinyimvua
4. Bw. Humphrey Polepole
5. Bw. Martine Madeke
6. Eng. Mwita Rubirya
7. Bw. Charles Singili

View attachment 1103317
MAENDELEO HAYANA CHAMA MKUU.KWA TAARIFA YENU PIA HUYO MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA NYUMBA DR SOPHIA MARCIEN KONGELA NI MKE WA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS IKULU DR.MOSES KUSILUKA MPOGOLE WOTE WALIKUWA WANAFANYA KAZI CHUO KIKUU ARDHI KAMA WAHADHIRI WAANDAMIZI ACHANA NA DIRECTOR GENERLA WA NHC DR MAULIDI BANYANI AMBAYE PIA NI MHADHIRI MKUU PALE ARDHI UNIVERSITY NA NI MSHIKAJI WAO MKUBWA SANA NA MWENYEKIT WA BODI NA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS.MAENDELEO HAYANA KUJUANA WALA USHIKAJI TUTEMBEE KIFUA MBELE TUKO KWENYE RIGHT TRACK
 
Huyo jamaa tangu aliposhiriki kunajisi rasimu ya katiba nikimuona ameingia sehemu huwa naona pameshanajisika...
Labda yuko hapo kama si kwa maslahi mapana binafsi itakuwa kwa chama chake...
Tusubiri matokeo...
Lakini Lowasa, Sumaye na kina Nyarandu walipokuja chadema waliiunga mkono katiba et ee? Na ukafurahi kuwa nao kundi moja et ee?
 
Appointment powers za Waziri kuteua mtu yoyote kuwa mjumbe wa bodi fulani iliyopo chini ya wizara yake, ni sawa na presidential appointment powers kuteua wasaidizi wake, ana mamlaka ya kumteua yoyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote na teuzi hizi, hazihojiwi popote.

Hivyo nawaombeni tuache kumuingilia waziri katika teuzi zake. Nliwahi pia kushauri humu tuepuke kumuingilia rais katika teuzi zake, kama heshima kwa wakuu wetu, kuna vitu haturuhusiwi kuhoji,
P
Mi nadhani ni muda muafaka kuanza kuhoji baadhi ya teuzi, hatuwezi kuwa na taifa la ''NDIO MZEE'' lazima tupate haki ya kuhoji kujua criteria za kuchagulia kuwa kwenye nyadhifa fulan. kwa jinsi inavyoonekana chaguzi nyingi zimekaa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji.
Maoni yangu.
 
Lukuvi hajawahi kuwa na chembe zozote za busara za kiuongozi kamwe
 
Mi nadhani ni muda muafaka kuanza kuhoji baadhi ya teuzi, hatuwezi kuwa na taifa la ''NDIO MZEE'' lazima tupate haki ya kuhoji kujua criteria za kuchagulia kuwa kwenye nyadhifa fulan. kwa jinsi inavyoonekana chaguzi nyingi zimekaa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji.
Maoni yangu.
Hatukujifunza kwenye mashirika ya umma...
Hatukujifunza kwenye vyama vya ushirika...
Hatujifunzi kwenye choroko na korosho....
Ukada ndio uzalendo na ndio utanzania... tusubiri matokeo ama tuanze kuipigia mijizi kelele kabla haijatuingiza chaka...
 
Appointment powers za Waziri kuteua mtu yoyote kuwa mjumbe wa bodi fulani iliyopo chini ya wizara yake, ni sawa na presidential appointment powers kuteua wasaidizi wake, ana mamlaka ya kumteua yoyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote na teuzi hizi, hazihojiwi popote.

Hivyo nawaombeni tuache kumuingilia waziri katika teuzi zake. Nliwahi pia kushauri humu tuepuke kumuingilia rais katika teuzi zake, kama heshima kwa wakuu wetu, kuna vitu haturuhusiwi kuhoji,
P
[/QUOT
Ila wakumbushe sio wote wanaoishi kwenye nyumba za bati Wana busara hata huku kwenye nyasi tupo.
 
Waziri Lukuvi ameteua wajumbe hao 7 wa bodi ya shirika la nyumba la taifa, leo Mei 20, 2019 siku chache baada ya Rais Magufuli kumteua Dr. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa bodi hiyo.

Wajumbe walioteuliwa ni,

1. Bi. Immaculate Senye
2. Bi. Sauda Msemu
3. Bw. Abdallah Mwinyimvua
4. Bw. Humphrey Polepole
5. Bw. Martine Madeke
6. Eng. Mwita Rubirya
7. Bw. Charles Singili

View attachment 1103317
Nchi inayo nuka damu za watu wasio na hatia imejaa unajisi na kamwe msahau maendeleo mpaka pale tu haki itakapo simama. Biblia inasema haki huinua Taifa, sasa hamna haki Taifa litainukaje???????????????????????????
 
Hii ni rushwa ya cheo!
Ni matumaini yangu Katibu Mkuu Bashiru ataingilia kati ili Chama kiweze kuwa na kauhuru kadogo ka kuwawajibisha viongozi wa serikali yake
 
Back
Top Bottom