Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Waziri Kombo akutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Desemba, 2025.
Mazungumzo yalijikita kujadili masuala ya ushirikiano na uwili baina ya Tanzania na Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Desemba, 2025.
Mazungumzo yalijikita kujadili masuala ya ushirikiano na uwili baina ya Tanzania na Marekani.