Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Letcia , anadhani ile nafasi ni yafamilia ya nyumbani kwake ! ile post ni ya umma, anapojiuzulu ni vyema akawajuza wananchi, iwe kwa maslahi ya chama, taifa au ya kwake binafsi.
Kumbe moto! Hongera sana Leticia Madaraka alikuwa selective