Waziri Kijaji: Tanzania ina viwanda 13 vya kuunganisha Magari

Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13

Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha

View attachment 2995903
Viwanda kama Tesla, BMW, au General Motors, vyenye production plants, gari inasukwa kuanzia mlango, rangi, maroboti yanaweka mirango, engine nk?

Au, alimaanisha assembling plants, au magodown, yakuhifsdhia magari ambsyo l, yanakuja yamekamirika nusu, hapa tunaweka betri nk!

Yaani, mjapan aingize cruza hapa bongo, vipande vipande, ili ije iungiwe hapa? Anapata faida gani? Wao gari z inatengenezwa na robots, tuone hata picha za viwanda vya magari bongo! Au brand gani
 
Mh! tukisema mnasema tunatukana. huyu atakuwa madrasa graduate1 au natukana jamani?
kabla ya kuongea fanya utafiti, elewa muktadha wa kauli husika, sadly unajikuta una akili sana halafu kuna vitu vidogo vidogo kama hivi vya elimu ya sekondari unashindwa kung'amua mwisho wa siku unakuja kuthibitisha the way fanatic christians are very poor in thinking critically.

Tatizo ni kuwa unachuki na wasiokuchukia, watu waliobize kwenye maisha yao we unataka kuanzisha chokochoko za kijinga.

Kwani hakuna kiongozi wa kikristo aliyewahi kuongea kwa malengo ya kisiasa zaidi??? Jibu ni kwamba wapo wengi zaidi kuliko hata viongozi wa waislamulamu kama umesahau kuna mwamba mmoja alishawahi kumuita mkuu kwa nomino Mungu nanukuu maneno yake kwa uchache "Mheshimiwa Mungu" na alikuwa mkristo lakini waislamu hawakureply kwa namna ambayo wengi wenu mna fanya.

Tuombe kwa Mungu amani itawale ila nyi jamaa ni watu mliokosa ustaarabu na mpo nje ya mafundisho ya biblia.

Acheni ujinga
 
Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13

Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha...
Kwa hiyo kwa mujibu wa Dr. Kijaji workshop ikiunganisha matrela tayari ni kiwanda cha magari?
 
Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13

Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
---

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Tanzania ina jumla ya viwanda 13 vya magari, kati ya viwanda hivyo, viwanda viwili (2) vinaunganisha magari ambavyo ni GF Trucks and Equipment Ltd kilichopo Kibaha, Pwani na Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni, Dar es Salaam.

Dkt. Ashatu ameyasema hayo Leo Mei 21, 2024 Jijini Dodoma wakati akiwasilisha Hoja ya Bajeti ya Makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara.

Dkt. Ashatu amesema kuwa Viwanda 11 vilivyosalia vinatengeneza matrela huku Kiwanda cha GF Vehicle Assemblers(GFA) sio GF Trucks & Equipment kina uwezo uliosimikwa wa kuunganisha magari 200 kwa mwezi na kimewekeza kiasi cha shilingi bilioni 10.752 na
kimetoa ajira 300.

Aidha Waziri huyo amefafanua kuwa . Ashatu Mradi wa Kiwanda cha Saturn Corporation Limited umegharimu mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 64.3 na kina uwezo uliosimikwa wa kuunganisha vichwa vya magari 900 na tipa 270 kwa mwezi huku kiwanda kikiajiri wafanyakazi 250.

PIA SOMA
- Waziri Kijaji: Tanzania ina viwanda vya chuma 28 vyatoa ajira 25,358 kwa Watanzania
Safi kabisa,serikali ya ccm ipo kazini
 
Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13

Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
---

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Tanzania ina jumla ya viwanda 13 vya magari, kati ya viwanda hivyo, viwanda viwili (2) vinaunganisha magari ambavyo ni GF Trucks and Equipment Ltd kilichopo Kibaha, Pwani na Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni, Dar es Salaam.

Dkt. Ashatu ameyasema hayo Leo Mei 21, 2024 Jijini Dodoma wakati akiwasilisha Hoja ya Bajeti ya Makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara.

Dkt. Ashatu amesema kuwa Viwanda 11 vilivyosalia vinatengeneza matrela huku Kiwanda cha GF Vehicle Assemblers(GFA) sio GF Trucks & Equipment kina uwezo uliosimikwa wa kuunganisha magari 200 kwa mwezi na kimewekeza kiasi cha shilingi bilioni 10.752 na
kimetoa ajira 300.

Aidha Waziri huyo amefafanua kuwa . Ashatu Mradi wa Kiwanda cha Saturn Corporation Limited umegharimu mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 64.3 na kina uwezo uliosimikwa wa kuunganisha vichwa vya magari 900 na tipa 270 kwa mwezi huku kiwanda kikiajiri wafanyakazi 250.

PIA SOMA
- Waziri Kijaji: Tanzania ina viwanda vya chuma 28 vyatoa ajira 25,358 kwa Watanzania

Cha Masoud Kipanya kimo? Kiko eneo gani?
 
Hata wale wanaunga bajaji na pikipiki navyo ni viwanda. Waziri kataja vichache tu sababu ya muda
 
Back
Top Bottom