Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

Waarabu hawa wakiondoka itakuwa ni record njema kwa serikali ya JPM. Wamesumbua sana loliondo
 
Ikumbukwe kampuni ilipewa eneo hilo miaka ya 1990 kwa mkataba wa miaka 99.


=====

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangala, amesema Serikali inakusudia kusitisha utoaji wa leseni kwa Kampuni ya uwindaji ya Otterlo Business Corporation (OBC).

Duh! Nchi hii kweli ilikuwa shamba la Bibi unatoa kibali cha kuchinja wanyama wetu hadi miaka 99?.Kizazi hadi kizazi?
 
haya mambo yashatokea zaamani miaka ya 70 azimio la Arusha , tukapigwa vita tukawa hatuna hata sabuni , tunarudi tena kwenye mambo hayo uwezi kuyanganya vitu vya watu wakati walipewa na serikali ya ccm ?. mwishowe tutakwenda mahakamani kulipa fidia kesho wanaweza kuchukua mali za wafanya biashara za wazalendo

Hoja kama hizi ni za kipuuzi hasa kama zinatolewa na mtanzania. Mwekezaji anayevunja mkataba na haki za binadamu hana haki ni afukuzwe kabisa. Tunahitaji mawaziri wote wawe na maamuzi yasiyo na ubinafsi kama ya mhe Kingwangwala. Pia tunapendekeza kazi ya cropping wafanye TAWA kama TAWICO zamani. Hao wenye vitalu wasiue wanyama bali wafanye utalii wa kupiga picha tu. TAWA waongezewe askari na pesa ili kusimamia vizuri wanyamapori wetu na ujangiri utokomezwe.
 
Wewe ni mpumbavu. Mkoloni sawa, na bado anakutawala! Na ataendelea kututawala kama "Rais" wenyewe ndio hao

nadhani kunawatu huwezi kuamini kama ni watanzania AU UGUMU WA maisha unawapiga ndio maana hawana akili.. wanapinga kila kitu atakama ni kizuri kwa NCHI YETU
 
KW
haya mambo yashatokea zaamani miaka ya 70 azimio la Arusha , tukapigwa vita tukawa hatuna hata sabuni , tunarudi tena kwenye mambo hayo uwezi kuyanganya vitu vya watu wakati walipewa na serikali ya ccm ?. mwishowe tutakwenda mahakamani kulipa fidia kesho wanaweza kuchukua mali za wafanya biashara za wazalendo

Kwanini watanzania waogahivi kama kuku yani mtu anakuibia bado unamuogopa hata kwenye makinikia mlisema hivi hivi sijui tutapelekwa mahakamani na bla bla kibao sijui zimeishia wapi. Huu ukarimu wa watanzania umegeuka kuwa ujinga wao
 
Namuona mhe kigwangala anavyoishugurikia ile mikataba ya kichifu Mangungo safi Sana
 
Time will tell. I for one don't trust politicians. They have a tendency of turning most situations into political capital and always end up benefiting directly or indirectly.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Piga kazi Kigwangalla usisikilize kelel za chura wanaotapatapa kisa eti maji yamekuwa ya moto.
 
Mimi naumga mkono initiatives nyingi za Magufuli zinazoiletea heshima nchi yetu; napata matatizo na approach yake jinsi anavyotaka kufanikisha malengo yake! Mambo mengine huhitaji busara kidogo yu ili kupata unachotaka!
 
Back
Top Bottom