second in commander
Member
- Feb 9, 2021
- 6
- 16
Waziri wa Muungano na Mazingira, Selemani Jafo amesema kesho wataanza msako wa kukamata vifungashio vya plastiki kupitia NEMC na TBS .
Msako utakuwa kuanzia viwandani na mitaani
Msako utakuwa kuanzia viwandani na mitaani