ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Binafsi Huwa sielewi Kazi ya Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano inahosimamiwa na Jafo wanafanya nini hasa.
Kupanda miti Wameshindwa japo kuonesha mfano hapo Dodoma hakuna kitu.
Kusimamia Usafi Wameshindwa kiasi kwamba Sasa hivi kipindupindu kimerejea Kagera na Dar,Like agizo la Usafi wa mwisho wa wiki na Kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi (Magufuli Day) imepuuzwa.
Sasa hivi Mifuko ya plastics ambayo ilipigwa marufuku imerejea Kwa Kasi sana mtaani.
Nashauri mh.Rais amfukuze kazi Waziri Jafo,huyu ndio Waziri Bomu kabisa kwenye Cabinet.
View: https://www.instagram.com/p/C1cRqutIh3S/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Kupanda miti Wameshindwa japo kuonesha mfano hapo Dodoma hakuna kitu.
Kusimamia Usafi Wameshindwa kiasi kwamba Sasa hivi kipindupindu kimerejea Kagera na Dar,Like agizo la Usafi wa mwisho wa wiki na Kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi (Magufuli Day) imepuuzwa.
Sasa hivi Mifuko ya plastics ambayo ilipigwa marufuku imerejea Kwa Kasi sana mtaani.
Nashauri mh.Rais amfukuze kazi Waziri Jafo,huyu ndio Waziri Bomu kabisa kwenye Cabinet.
View: https://www.instagram.com/p/C1cRqutIh3S/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==