Yupo yupo tu yaani sijui nielezeje😀Yani hana nyota au?
Huyu si aombe ushauri kutoka kwa JanuariWaziri wa Muungano na Mazingira, Selemani Jafo amesema kesho wataanza msako wa kukamata vifungashio vya plastiki kupitia NEMC na TBS .
Msako utakuwa kuanzia viwandani na mitaani
Basi tuseme HATOSHIYupo yupo tu yaani sijui nielezeje
Inawezekana 😀Basi tuseme HATOSHI