Hawezi kusema uongo ambao hata zombie atashituka.Mkuu hebu fafanua kauli nzito sna hii
Yaani Kati ya Watanzania 10 wanaokufa na Corona 7 hawajachanjwa.
Kwa mahesabu ya darasa la pili waliochanjwa hawafiki 1.5m ya Watanzania 60m.
Maiti zingeokotwa barabarani maana wangekuwa wanakufa Watu wengi Sana.