Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Sukuma gang!
Ukichomwa sindano hata diclofenac tu huwezi ruka hivyo,acha watufanyie maigizo,ila Kuna mwisho wao wajue,Tena mwisho wao unakuja upesi.Hata mimi nimeshangaa sana. Na waandishi hawajamuuliza hili.
Yaani huyo mama hana tofauti na bi kidude, anaongea ongea tu. Kujimwambafai kwiingi, oooh Iramba sijui nini, kwa kweli huyo mama na Mwigulu huwa siwaelewi kabisa ni vituko tumeletewa serikaliniHuyu waziri wetu wa afya huyu
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Huyo anafaa kuwa MC maana haongei facts za kisomi,Yupo vizuri anajitahidi ana maneno mengi yenye ushawishi hata kwenye harambe anafa huyu.
Mbona kichwani hakuna kitu?Haku specialize.
Ni MD, halafu akafanya Masters of Public Health (MPH), ambayo sio medical specialization kwa sababu inaweza kufanywa na hata watu ambao hawana medical background.
So she is a public health specialist.
Nyani Ngabu
Tena anachamba wimaHahaha!.
Huyu mama anafikisha ujumbe huku anachamba.
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Hicho ndio kimenifanya nimchukie siku zote nilimpenda ila kuchamba kwa hadhi yake hastahili yaani kwa maneno Yale alitakiwa avae kijora, nimeumia sana alipowasuta wana habari, ni kweli kaongea na Mimi nilimsikia Tena aliongea kwa kejeli hadi nikajiuliza wamechanja lini? Au ndio anatoka kuchanja? Jana kakana hakusema wakati TV zimemuonyesha akiongea, awaombe msamaha, mtanisamehe huyu mama nimemdharau sanaHahaha!.
Huyu mama anafikisha ujumbe huku anachamba.
Seema wewe mkuu nikisema Mimi nitaonekana nina wivu, kwa nilivyomsikiliza shemeji kazi anayo.Hapendezi sasa kuwa waziri tena wa afya, mambo yanahitaji ufafanuzi wa kitaalamu analeta uchizi
Kabisa. Waswahili tunasema mirembe dayMental case
hii ndiyo SIHASA yenyeweHuwezi ukaamini kuwa huyo ndie huyu aliekuwa akihimiza kutumia Mizizi na tiba za ajabuajabu
View attachment 1872040
Shida ya wakosoaji na wapinzani wa chanjo hawako consistent mara nguvu za kiume,mara watu watakufa,mara kupunguza waafrika ,mara taa zinawaka ulipochanjwa,mara dna zinabadilika , yaani upuuzi mtupu ,utasikia sijui wameoteshwa kwenye ndoto mara unabii yaani kila mtu anasema lake kutegemea alikunywa mbege,bia au KVant .KaLi kuliko zote eti ukichanja unakuwa Zombie
Safi Sana Waziri wa Afya.
She’s one of the best unpaid entertainers!
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
itakuwaAmechangamka sana au alishashtua kidogo nini!
Huyu maza ana vionja flani hahaHuyu waziri wetu wa afya huyu
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.