Yaani ghafla mabeberu wamekuwa rafiki,kweli abiria hatuko ndani ya Gari la abiria!bila shaka atalipwa na wahisani waliotupatia hizi kinga na sio fedha zetu za ndani
Yaani ghafla mabeberu wamekuwa rafiki,kweli abiria hatuko ndani ya Gari la abiria!bila shaka atalipwa na wahisani waliotupatia hizi kinga na sio fedha zetu za ndani
Tanzania nchi ya ajabu.kisa kalumbana na Polepole.Msanii maarufu nchini na Mwenyekiti wa Jukwaa la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele 'Steve Nyerere' ameteuliwa kuwa Balozi wa harakati za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (Uviko-19).
Steve ameteuliwa leo Alhamisi Agosti 12 na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Steve, wengine walioteuliwa ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Wanawake nchini, Joyce Kiria na Mbunge wa Viti Maalumu, Neema.
Tangu janga la Uviko 19 liibuke tena nchini mwaka huu, Steve ameonyesha kupambana na janga hilo huku akihamasisha Watanzania kupata chanjo ili kujikinga dhidi ya ugonjwa huo hatari duniani.
Hii nchi bila katiba mpya haitakuja kuishiwa vituko kama hivi
Msanii maarufu nchini na Mwenyekiti wa Jukwaa la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele 'Steve Nyerere' ameteuliwa kuwa Balozi wa harakati za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (Uviko-19).
Steve ameteuliwa leo Alhamisi Agosti 12 na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Steve, wengine walioteuliwa ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Wanawake nchini, Joyce Kiria na Mbunge wa Viti Maalumu, Neema.
Tangu janga la Uviko 19 liibuke tena nchini mwaka huu, Steve ameonyesha kupambana na janga hilo huku akihamasisha Watanzania kupata chanjo ili kujikinga dhidi ya ugonjwa huo hatari duniani.
Akili zao zinafanana, I mean mteuzi na mteuliwa wote ni Political Comedians
Mwigulu,
Alimteua mobeto kuwa balozi wa TOZO mpya.
Nashangaa mpaka Sasa kimya
Wizara ya afya imepata waziri na naibu wote matahahira kabisa,jumong nae walewale empty head
Hao mawaziri mmoja ni chizi kabisa toka kazaliwa huko kwao singida...huyo mmasai nae mjingamjinga tuFull Futuhi....Yaani wanatuona sie Mabwege sana.
Watoto wa masimbe wataunga mkono na kufurahi!!! Hahaaaahaaa je!? Huyo steve akiuluzwa swali kuhusu korona ana elimu ya kutoa!?? Hii nchi ya wapumbavu na watoto wa masimbe like you!?Magaidi watapinga
HatimayeMsanii maarufu nchini na Mwenyekiti wa Jukwaa la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele 'Steve Nyerere' ameteuliwa kuwa Balozi wa harakati za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (Uviko-19).
Steve ameteuliwa leo Alhamisi Agosti 12 na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Steve, wengine walioteuliwa ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Wanawake nchini, Joyce Kiria na Mbunge wa Viti Maalumu, Neema.
Tangu janga la Uviko 19 liibuke tena nchini mwaka huu, Steve ameonyesha kupambana na janga hilo huku akihamasisha Watanzania kupata chanjo ili kujikinga dhidi ya ugonjwa huo hatari duniani.
Hahahaha nikifika wanirudishe tu huko "kwetu"Mkuu wewe ni verifaidi memba kumbuka isije ukaitwa kama odera wa tozo upeleke cheti cha kuzaliwa uhamiaji.
Wizara ya afya imepata waziri na naibu wote matahahira kabisa,jumong nae walewale empty head
Kutatua migogoro ya wenye ndoa walioathirika na kovido...Hivi balozi anakuwa na kazi gani sasa?
Ni kuhamasisha tu, jamaa atakuwa anakula per diem za kwenda maeneo mbali mbali kwa ajili ya kazi hiyoHivi balozi anakuwa na kazi gani sasa?