Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,657
Hongera balozi steve....
Daftari la rambirambi anamuachia nani?
Daftari la rambirambi anamuachia nani?
bila shaka atalipwa na wahisani waliotupatia hizi kinga na sio fedha zetu za ndaniMsanii maarufu nchini na Mwenyekiti wa Jukwaa la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele 'Steve Nyerere' ameteuliwa kuwa Balozi wa harakati za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (Uviko-19).
Steve ameteuliwa leo Alhamisi Agosti 12 na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Steve, wengine walioteuliwa ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Wanawake nchini, Joyce Kiria na Mbunge wa Viti Maalumu, Neema.
Tangu janga la Uviko 19 liibuke tena nchini mwaka huu, Steve ameonyesha kupambana na janga hilo huku akihamasisha Watanzania kupata chanjo ili kujikinga dhidi ya ugonjwa huo hatari duniani.
Atazeeka mara ngapi???Hongera kwake Steve. Wacha naye ale keki ya taifa ambayo kila mwananchi anastahili. Wamtafutiepo ukatibu tarafa akazeekee huko. 😁😁😁
Kwa sasa makao makuu yako maklioni kwa mama mzanzibarHivi Serikali imerudisha makao makuu yake Dar es salaam tena?
Kwani yuko above 45+Atazeeka mara ngapi???
Mbona sijaona mwenye baracoa hata mmoja? corona na wasani Wapi na Wapi, Gwajima kakosa Madoctor wa kuelimisha watu Kweli?kuishi kwingi ni kuona mengiMsanii maarufu nchini na Mwenyekiti wa Jukwaa la Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele 'Steve Nyerere' ameteuliwa kuwa Balozi wa harakati za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (Uviko-19).
Steve ameteuliwa leo Alhamisi Agosti 12 na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Steve, wengine walioteuliwa ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Wanawake nchini, Joyce Kiria na Mbunge wa Viti Maalumu, Neema.
Tangu janga la Uviko 19 liibuke tena nchini mwaka huu, Steve ameonyesha kupambana na janga hilo huku akihamasisha Watanzania kupata chanjo ili kujikinga dhidi ya ugonjwa huo hatari duniani.
Yaani dah ama tu kweli....Hii nchi bila katiba mpya haitakuja kuishiwa vituko kama hivi
Aisee umepiga mule mule... dahAkili zao zinafanana, I mean mteuzi na mteuliwa wote ni Political Comedians
KuwakilishaHivi balozi anakuwa na kazi gani sasa?
Hiyo nafas aliyopewa huyo Mama hastahili kabisa ni Bora angebaki yuleyule Umi Mwalimu alikava vizurMbona sijaona mwenye baracoa hata mmoja? corona na wasani Wapi na Wapi, Gwajima kakosa Madoctor wa kuelimisha watu Kweli?kuishi kwingi ni kuona mengi
Utashngaa siku moja wanampa ubalozi CHIKU MBALANGAYaani dah ama tu kweli....
Mandondocha kama kawa watatetea!Magaidi watapinga