MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,605
Mbowe anasema alikopa NSSF, huyu naye anasema hajamkopesha?. Aliyekopa anasema amekopa. Hii ni sawa na kusema, mwizi anasema aliiba lakini aliyeibiwa anasema hakuiba!.
Siwezi kushangaa kama hii habari haijatoka kwenye kitengo cha ofisi ya habari na Uenezi ya CHADEMA A.K.A Tanzania Daima.
Tanzania Daima wanajaribu kumsafisha Mbowe kwa kutumia matope huku wakitufanya tuulize maswali zaidi.
Hili gazeti la Tanzania Daima linawadharau sana wasomaji wake. Nadhani labda wasomaji wake ni wale wanaochukua kila kama dodoki bila kuchanganua na kuchuja.
nssf au lapf ?