Waziri Ghasia aumbuliwa na Mkurugenzi LAPF kwa kumdhalilisha Mbowe kukopa mabilioni ya pesa

Mbowe anasema alikopa NSSF, huyu naye anasema hajamkopesha?. Aliyekopa anasema amekopa. Hii ni sawa na kusema, mwizi anasema aliiba lakini aliyeibiwa anasema hakuiba!.

Siwezi kushangaa kama hii habari haijatoka kwenye kitengo cha ofisi ya habari na Uenezi ya CHADEMA A.K.A Tanzania Daima.

Tanzania Daima wanajaribu kumsafisha Mbowe kwa kutumia matope huku wakitufanya tuulize maswali zaidi.

Hili gazeti la Tanzania Daima linawadharau sana wasomaji wake. Nadhani labda wasomaji wake ni wale wanaochukua kila kama dodoki bila kuchanganua na kuchuja.

nssf au lapf ?
 
Pale mjengoni ccm wote ni vichwa maji, hebu fatilia majibu wanayoyatoa kwa maswali magumu wanayoulizwa, hakuna cha profesor wa wala Dr wala degree holders, wanafanya maigizo tu, unapomuona mtu kama Anna Tibaijuka anaongea upuuzi ambao hata mtu ambaye hakwenda shule anashangaa, hii ni hatari, hakuna mtu pale ccm, wote wameoza, angalia akina Deo Filikunjombe, walikuwa wanapiga kelele bungeni, leo wamepewa vyeo kimya kabisa utafikiri hawapo, muangalie kibaraka wao Zitto, kwisha kabisa habari, humusikii utazani hakuna mambo ya msingi yanayoendelea hapa nchini.
 
naomba kuuliza wadau, hivi Hawa Ghasia ile miwani ni ubishoo au ndo macho mabovu? inamaana hana hata wa kumshauli ili angalau apendeze, kweli ulimbukeni ni noma.
 
Waziri alisema mbowe amekopa nssf na sio lapf. Tanzania daima linafanya wasomaji wake Ni Wa wapuuzi wasio na kumbukumbu. Wanajaribu kumsafisha kipuuzi. Nyambafuuuu.
 
Mwanadiwani kama Mbowe amekiri kuchukua mkopo na pili amekiri amesharudisha,na siyo yeye aliyechukua bali makampuni yake sioni sababu ya kumuongelea.

Kama anatabia ya kuchukua mikopo na kurejesha basi haina shida.Labda kwa sasa utuletee vidhibitisho kwamba amechukua lakini hadi sasa hajarejesha,tutakuunga mkono wengi tu.
Ndugu, Tetty kukopa katika biashara kunakubalika na ndiyo njia mojawapo ya kuongeza mtaji kwa faida ya uzalishaji zaidi. Tatizo linalokuja ni kwa baadhi ya wanasiasa kujifanya wao hawawezi kukopa au kupewa pesa na taasisi zenye fungu la maendeleo kwa faida ya wananchi.

Kama Mh. Tundu Lissu alitaka kujenga hoja ya kisiasa kwa mtazamo wa kivyama basi hiyo hoja inawagusa hata viongizi wake na wabunge ndani ya CHADEMA.
Shirika hilo (LAPF) liliidhinisha Sh1.5milioni kwa ajili ya mradi wa maabara wa Jimbo la Arumeru Mashariki.(Mbunge, Nassari).
 
Last edited by a moderator:
Nasikitika sana kuona watanzania wenzetu wanatusaliti na kufilisi mifuko ya hifadhi ya jamii kwa tamaa zao binafsi.
 
Ndugu, Tetty kukopa katika biashara kunakubalika na ndiyo njia mojawapo ya kuongeza mtaji kwa faida ya uzalishaji zaidi. Tatizo linalokuja ni kwa baadhi ya wanasiasa kujifanya wao hawawezi kukopa au kupewa pesa na taasisi zenye fungu la maendeleo kwa faida ya wananchi.

Kama Mh. Tundu Lissu alitaka kujenga hoja ya kisiasa kwa mtazamo wa kivyama basi hiyo hoja inawagusa hata viongizi wake na wabunge ndani ya CHADEMA.

Sidhani kama lilikuwa lengo la Lissu,kumbuka hizi hifadhi za jamii ni pesa za wafanyakazi ambao kesho wanatakiwa kizipata.Ni halali ya Wafanyakazi na si halali ya serikali,hivyo basi ikomee kwenye serikali kukopa fedha hizi na si kwenda kuomba misaada kwa ajili ya kutekeleza maendeleo ya maeneo tofauti tofauti.

Hili sitolikubali,kuchota pesa na kwenda kufanyia maendeleo ambayo hayaleti income kwa mfuko husika,ila kama wakikopa ni sahihi.Na nilichomuelewa Lissu aliongelea kuhusu pesa hizo kutumika kwenye majimbo ya wabunge wa CCM zaidi,na ukumbuke kuna mifuko ya wabunge,kwanini wasitumie mifuko hii badala ya kwenda kuchukua kwenye mifuko ya jamii?

Hivi haujui kuwa mifuko hii yaweza kufilisika?Sikatai Mbunge akikopa na kurudisha hilo kwangu wala siyo tatizo,na kama mkopaji halipi basi tusimlaumu mkopaji tumlaumu aliyetoa mkopo,tumuulize kwanini hadai madeni yake.

Hayo tu Mwanadiwani,niko kitaifa zaidi na si kichama,chama chaweza kufa au kufutwa lakini Taifa langu haliwezi kufa au kufutwa.Upo kaka?
 
Umeielewa hii sentensi?

Hao Tanzania Daima, nani aliwaambia MIFUKO ya jamii ni mmoja wakati neno mifuko linawakilisha wingi.

Nani aliwaambia kuwa Mh. Mbowe alienda kukopa LAPF na siyo NPF a.k.a NSSF.

Wanachofanya ni diverting technics ili kumuosha Mh. Mbowe wakati wanachofanya ni kumuosha kwa matope.

Nape...Kwani deni hata kama lipo n dhambi? deni halina shida...linalipwa tu...Tatizo ni nyie majizi mnaotuibia waziwazi..Time will come..Sasaivi huwezi kunielewa kwa sababu bado unaneemesha kitambi
 
Mbowe anasema alikopa NSSF, huyu naye anasema hajamkopesha?. Aliyekopa anasema amekopa. Hii ni sawa na kusema, mwizi anasema aliiba lakini aliyeibiwa anasema hakuiba!. Hoja ni kwamba, anadaiwa na mifuko ya jamii.

Siwezi kushangaa kama hii habari haijatoka kwenye kitengo cha ofisi ya habari na Uenezi ya CHADEMA A.K.A Tanzania Daima.

Tanzania Daima wanajaribu kumsafisha Mbowe kwa kutumia matope huku wakitufanya tuulize maswali zaidi.

Hili gazeti la Tanzania Daima linawadharau sana wasomaji wake. Nadhani labda wasomaji wake ni wale wanaochukua kila kama dodoki bila kuchanganua na kuchuja.

SOMA VIZURI UELEWE KILICHOANDIKWA HALAFU NDIO UANZE KUCHANGIA...

KUNA LAPF NA KUNA NSSF, LAPF wamekanusha kumkopesha MBOWE,, Ila MBOWE Alikopa NSSF...
UKWELI NI KWAMBA ALIKOPA NSSF NA SIO LAPF..

HAYA KUANZIA HAPO SASA NDIO UJE NA HOJA..... ASANTE.
 
Mbowe anasema alikopa NSSF, huyu naye anasema hajamkopesha?. Aliyekopa anasema amekopa. Hii ni sawa na kusema, mwizi anasema aliiba lakini aliyeibiwa anasema hakuiba!. Hoja ni kwamba, anadaiwa na mifuko ya jamii.

Siwezi kushangaa kama hii habari haijatoka kwenye kitengo cha ofisi ya habari na Uenezi ya CHADEMA A.K.A Tanzania Daima.

Tanzania Daima wanajaribu kumsafisha Mbowe kwa kutumia matope huku wakitufanya tuulize maswali zaidi.

Hili gazeti la Tanzania Daima linawadharau sana wasomaji wake. Nadhani labda wasomaji wake ni wale wanaochukua kila kama dodoki bila kuchanganua na kuchuja.
MwanaDiwani,wakati mwingine utumie vyema akili yako.Si kila muda kujaa uchama tu usiokusaidia chochote.Kwanza,chanzo cha habari si Tanzania Daima bali ni Nipashe. Halafu,habari yahusu LAPF na wewe unajadili NSSF. Wewe bure kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Huyu waziri kama angekuwa katika nchi za wenzetu ANGEJIUZURU mara moja kwa UONGO. Lakini kwa kuwa akili yetu ipo hivi (hapo chini) hajutii kusema hivo!
Countries With The Highest Average IQ
Rank
Country
Average IQ
1
Hong Kong
107
2
South Korea
106
3
Japan
105
4
Taiwan
104
5
Singapore
103
6
Austria
102
6
Germany
102
6
Italy
102
6
Netherlands
102
10
Sweden
101
10
Switzerland
101
12
Belgium
100
12
China
100
12
New Zealand
100
12
United Kingdom
100
16
Hungary
99
16
Poland
99
16
Spain
99
19
Australia
98
19
Denmark
98
19
France
98
19
Mongolia
98
19
Norway
98
19
United States
98
25
Canada
97
25
Czech Republic
97
25
Finland
97
Countries With The Lowest Average IQ
1
Equatorial Guinea
59
2
Ethiopia
63
3
Sierra Leone
64
4
Democratic Republic of the Congo
65
5
Zimbabwe
66
5
Guinea
66
7
Nigeria
67
8
Ghana
71
9
Tanzania
72
9
Sudan
72
 
Nasikitika sana kuona watanzania wenzetu wanatusaliti na kufilisi mifuko ya hifadhi ya jamii kwa tamaa zao binafsi.

hapa ndio kila siku tunaongelewa udhaifu wa watawala,, MBOWE ANADAIWA HATAKI KULIPA USHAHIDI UPO, KWA NINI ASIKAMATWE, ASISHITAKIWE ASIFUNGWE AU KUFILISIWA KUFIDIA DENI???
KWA NINI TENA MBOWE ABEMBELEZWE, KWA NINI ASICHUKULIWE HATUA? KUNA KITU HAKIKO SAWA HAPA..
 
Mbowe anasema alikopa NSSF, huyu naye anasema hajamkopesha?. Aliyekopa anasema amekopa. Hii ni sawa na kusema, mwizi anasema aliiba lakini aliyeibiwa anasema hakuiba!. Hoja ni kwamba, anadaiwa na mifuko ya jamii.

Siwezi kushangaa kama hii habari haijatoka kwenye kitengo cha ofisi ya habari na Uenezi ya CHADEMA A.K.A Tanzania Daima.

Tanzania Daima wanajaribu kumsafisha Mbowe kwa kutumia matope huku wakitufanya tuulize maswali zaidi.

Hili gazeti la Tanzania Daima linawadharau sana wasomaji wake. Nadhani labda wasomaji wake ni wale wanaochukua kila kama dodoki bila kuchanganua na kuchuja.
Lakini akijibu hoja hiyo, Mbowe alisema kampuni zake zilikopa Sh milioni 15 kutoka NPF takribani miaka 25 iliyopita (kabla haijawa NSSF) na kwamba mkopo huo ulishalipwa.

Waht Kind of a dush are you?
 
Back
Top Bottom