Waziri Bashungwa awataka wamiliki wa redio kulipia muziki wanaopiga

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania kuhakikisha wanalipa tozo za muziki unaopigwa katika redio zao ili kuwawezesha wasanii kupata haki zao.

Bashungwa amesema hayo jana Ijumaa Septemba 3, 2021 wakati akizinduzi kituo kipya cha redio cha Gold FM mjini Kahama, akibainisha kuwa wasanii wanaingia gharama kubwa kutayarisha muziki lakini wanapata ujira mdogo.

Amesema, kila mmiliki wa redio hapa nchini anatakiwa kulipa kiasi cha Sh62,500 kwa mwezi bila kusukumwa na anaruhusiwa kupiga wimbo wowote ulioimbwa na wasanii wa Tanzania na kufanya hivyo ni kuwawezesha wasanii hao kupata ujira wao.

Bashungwa amesema, Serikali ni wakala wa ukusanyaji wa tozo hizo hivyo kile kinachokusanywa kila mwezi kupitia kazi za wanamuziki zinazopigwa redioni kinawasilishwa katika chama kinachosimamia haki za wasaniii (Kosota).

Pia Bashungwa amesema, Serikali imefuta tozo za kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, YouTube na Facebook kwa watu ambao hawafanyi maudhui ya kihabari hivyo wajasirimali wanaruhusiwa kutangaza biashara zao kupitia mitandao hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya ziwa Francis Mihayo amesema, tozo hizo zipo kisheria na gharama zake, hivyo lazima wamiliki waweze kuzilipa fedha hizo kwani haziingii serikalini bali zinakwenda kuwalipa wale wanamuziki ambao wameshiriki katika kuimba nyimbo hizo.

Mihayo amesema, Kanda ya Ziwa kuna redio 39, ambapo Mkoa wa Mwanza pekee una Redio 15, Kagera radio 12, Shinyanga Radio tano, huku Gold Fm kikiwa kituo cha sita baada ya kufungukiwa na kwamba vituo hivyo vikilipa tozo hizo kutawanyanyua wasanii.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amesema, atahakikisha anasimamia tozo hizo zinatolewa kwa wakati ili kuondoa migogoro isiyokuwa na tija baina ya wamiliki wa redio hizo na serikali na hakikisha wasanii wananufaika na uwepo wa radio zilizopo.
Kwahiyo Eminem na Outkast watawatumia pesa zao hukohuko USA?
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania kuhakikisha wanalipa tozo za muziki unaopigwa katika redio zao ili kuwawezesha wasanii kupata haki zao.

Bashungwa amesema hayo jana Ijumaa Septemba 3, 2021 wakati akizinduzi kituo kipya cha redio cha Gold FM mjini Kahama, akibainisha kuwa wasanii wanaingia gharama kubwa kutayarisha muziki lakini wanapata ujira mdogo.

Amesema, kila mmiliki wa redio hapa nchini anatakiwa kulipa kiasi cha Sh62,500 kwa mwezi bila kusukumwa na anaruhusiwa kupiga wimbo wowote ulioimbwa na wasanii wa Tanzania na kufanya hivyo ni kuwawezesha wasanii hao kupata ujira wao.

Bashungwa amesema, Serikali ni wakala wa ukusanyaji wa tozo hizo hivyo kile kinachokusanywa kila mwezi kupitia kazi za wanamuziki zinazopigwa redioni kinawasilishwa katika chama kinachosimamia haki za wasaniii (Kosota).

Pia Bashungwa amesema, Serikali imefuta tozo za kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, YouTube na Facebook kwa watu ambao hawafanyi maudhui ya kihabari hivyo wajasirimali wanaruhusiwa kutangaza biashara zao kupitia mitandao hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya ziwa Francis Mihayo amesema, tozo hizo zipo kisheria na gharama zake, hivyo lazima wamiliki waweze kuzilipa fedha hizo kwani haziingii serikalini bali zinakwenda kuwalipa wale wanamuziki ambao wameshiriki katika kuimba nyimbo hizo.

Mihayo amesema, Kanda ya Ziwa kuna redio 39, ambapo Mkoa wa Mwanza pekee una Redio 15, Kagera radio 12, Shinyanga Radio tano, huku Gold Fm kikiwa kituo cha sita baada ya kufungukiwa na kwamba vituo hivyo vikilipa tozo hizo kutawanyanyua wasanii.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amesema, atahakikisha anasimamia tozo hizo zinatolewa kwa wakati ili kuondoa migogoro isiyokuwa na tija baina ya wamiliki wa redio hizo na serikali na hakikisha wasanii wananufaika na uwepo wa radio zilizopo.
Usiku wapige nyimbo laini mpaka panya nao walale
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania kuhakikisha wanalipa tozo za muziki unaopigwa katika redio zao ili kuwawezesha wasanii kupata haki zao.

Bashungwa amesema hayo jana Ijumaa Septemba 3, 2021 wakati akizinduzi kituo kipya cha redio cha Gold FM mjini Kahama, akibainisha kuwa wasanii wanaingia gharama kubwa kutayarisha muziki lakini wanapata ujira mdogo.

Amesema, kila mmiliki wa redio hapa nchini anatakiwa kulipa kiasi cha Sh62,500 kwa mwezi bila kusukumwa na anaruhusiwa kupiga wimbo wowote ulioimbwa na wasanii wa Tanzania na kufanya hivyo ni kuwawezesha wasanii hao kupata ujira wao.

Bashungwa amesema, Serikali ni wakala wa ukusanyaji wa tozo hizo hivyo kile kinachokusanywa kila mwezi kupitia kazi za wanamuziki zinazopigwa redioni kinawasilishwa katika chama kinachosimamia haki za wasaniii (Kosota).

Pia Bashungwa amesema, Serikali imefuta tozo za kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, YouTube na Facebook kwa watu ambao hawafanyi maudhui ya kihabari hivyo wajasirimali wanaruhusiwa kutangaza biashara zao kupitia mitandao hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya ziwa Francis Mihayo amesema, tozo hizo zipo kisheria na gharama zake, hivyo lazima wamiliki waweze kuzilipa fedha hizo kwani haziingii serikalini bali zinakwenda kuwalipa wale wanamuziki ambao wameshiriki katika kuimba nyimbo hizo.

Mihayo amesema, Kanda ya Ziwa kuna redio 39, ambapo Mkoa wa Mwanza pekee una Redio 15, Kagera radio 12, Shinyanga Radio tano, huku Gold Fm kikiwa kituo cha sita baada ya kufungukiwa na kwamba vituo hivyo vikilipa tozo hizo kutawanyanyua wasanii.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amesema, atahakikisha anasimamia tozo hizo zinatolewa kwa wakati ili kuondoa migogoro isiyokuwa na tija baina ya wamiliki wa redio hizo na serikali na hakikisha wasanii wananufaika na uwepo wa radio zilizopo.
Tayari zinalipwa tangu enzi za magu..tena enz za magu ilikua laki nne kwa mwaka ila mwaka huu naona imekuja laki mbili na ndan ya siku 35 uwe ushalipa!

Chakusikitisha ni kuwa wamiliki wa redio wanatumia sana mitandao ya simu..wateja wao hasa redio jamii unawza kuta kwa siku mtu kajiunga kifurushi na kinaishia kupiga simu redioni au kutuma meseji na wamiliki wa redio washatuma maombi mengi sana tcra wasimamie hili jambo ili wamiliki nao angalau wapate asilimia kadhaa toka kwenye mitandao lakin tcra cjui hata wanafanya nini? Utasikia nenda mwenyewe kwenye makampuno ya simu ukaombe khaaaa
 
Hao wasanii idadi yao ni ngapi? je kama nyimbo yangu haikupgwa kbs ktk mwwz huo je nitalipwa?kma msanii nymbo zake zimepgwa mara chache tu je atalipwa sawa na yule wa zilzopigwa nying?
Hili jambo wanasimamia cosota..nadhani ni pesa inagawanywa sawa kwa wasanii inaeza isiwe kupewa pesa mkononi lakini ukaambiwa wasanii wanajengewa studio au cjui wanaboreshewa maslah..na ndiyo vivutio pia vya wasanii kujiandikisha ili na wao walipe kodi vizuri heehee
 
Haina shida wao waendelee kuota hizo ndoto zao na kukurupuka kutunga hizo sheria, mimi binafsi kwenye radio nayofanya kazi ntapiga ngoma za nje tu na ninazo nyingi haswaaa... Si wanataka kuua soko la muziki wa bongo na kubore wasikilizaji.

Serikali inashindwa kutambua ya kua hizi radio zinatumika kumpromote msanii na kazi zake tu, siku hizi kuna digital platforms nyingi huko mtandaoni ndiko hawa vijana wanapatia mpunga wa kutosha, kuna apple music hii wasanii ndo wanapiga hela sana, kuna boomplay, tidal, spotify n.k
 
hii kitu imewatafuna kenya,hawana hamu.
Kenya walijuta kuweka hii kitu, redio zao zilianza kupiga amapiano, reggae, nigerian music, na american hits tu... local music ulikua haupigwi sana ndo akili ikawakaa sawa kumbe walikurupuka...
 
Back
Top Bottom