stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 9,112
- 17,929
Source: Trust me BroPost haina chanzo cha habari, itakuwa feki
Source: Trust me BroPost haina chanzo cha habari, itakuwa feki
Kimenuka !"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Majibu ya sukari wapi? Alipigiwa na nani? Akiwa wapi?Alivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Ni kweli haujaelewa.Kwahiyo hata akivunja sheria, polisi hawana ruksa kumuita kumuhoji au yeye ndo atawaita polisi kuwahoji??
Au Mimi ndo cjaelewa 😂😂😂
😂😂😂🌟Alivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Kuna siku atampigia Rais aanze kumpa maelekezoUtasikia kesho huyo asiyejua mipaka ya kazi anateuliwa kua naibu waziri mkuu.
Unaambiwa mbwa akikuzoea sana atakufuata msikitiniKuna siku atampigia Rais aanze kumpa maelekezo
Siku atainuka na kupiga simu ikulu aanze kutoa maelekezo hapo ndio wataelewa nini maana ya mipaka ya kaziUnaambiwa mbwa akikuzoea sana atakufuata msikitini
"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Ameuchoka uwaziri huyu.Makonda ndio amerejesha Imani ya watu Kwa ccm harafu Bashe anasemaje?"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
namfahamu Bashe personally...haendeshwi ana imani ngumu sana nadhan na usomali wake umechangia ...You Go Bashe"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613