Nilivutiwa sana jana nilipomuona waziri mwenye dhamana ya mambo ya ndani - Jeshi la polisi na mengineyo akitangazia umma tishio la watu kuuwawa tena viongozi wa kitaifa huku akicheka cheka na kutabasamu as if habari hizo ni nzuuri sana kwa watanzania.Speach yake ilionyesha jinsi serikali anayoiwakilisha isivyo na serious...aidha speach ile imenikumbusha uwezo mdogo(intelectual na interpesonal)wa waziri huyo katika ku handle issues za wizara yake.
Najiuliza sipati jibu kama tunaweza kuiamini wizara ya mambo ya ndani tukiwa na mawziri dhaifu kama hawa
Najiuliza sipati jibu kama tunaweza kuiamini wizara ya mambo ya ndani tukiwa na mawziri dhaifu kama hawa