Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

Victoire ningekuamini kuwa hayo unayoyanena ni ya dhati kama ungeonesha kuwa unachukia mifasidi yote ikiwa ni pamoja na hili mamvi na yale yaliyobakia katika mtambo wenyewe wa kuzalisha ufisadi - ccm ambayo yanajumuisha na yale ambayo fisadi aligawa nyumba za serikali na kuwagawia vimada wake leo hii anazunguka kuyanadi mafisadi mabichi ya Eskrow. Hapo ningekuamini, vinginevyo fikira zako ni zile zile mgando za kimagamba. Heri ya fisadi lilijitambua na kutubu (kwa kujiunga na teammabadiliko).

kusemau ukweli hata Magufuli nilikuwa simkubali,ila ukilinganisha ufisadi wa Magufuli na Lowasa,Lowasa ni papa.Kwa taarifa yako Nyumba ya aliyouziwa Sundi na Mussa zilisharudishwa serikalini wakauziwa waliostahili.Pia Sumaye mwenyewe alikiri kuwa mpango wa kuuza nyumba haukuwa wa Magufuli.Pia hizo nyumba Sumaye na Lowasa na wao walchukua.Magufuli kwa sasa yupo Safi na ndiyo anafaa kuwa RAISI
 
Wazee mnamchukia sana Kikwete wakati mwingine mnapitiliza na siyo fair kabsa.Rais yupo mkutano wa un na siyo kula bata. Sisi chadema tunatakiwa kuwa vile objective, tusiwe emotional haitusaidii. Kikwete bado ni rais wazee. Na bado ni rais mpaka lowasa au magufuli atakapotangazwa. Ata run ofis mpaka December, kipind anakabidhi nchi.selina ameagwa tu bado mazishi..!! RIP SELINA
 
Aliyefariki amemaliza utumishi wake na kusudi la Mungu. Tulio hai bado tuna kazi zaidi kwa ustawi wa taifa letu. Ndipo Yesu Kristo alifika mahali akasema waache wafu wazike wafu wao.
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.


Kweli ni mshangao mkubwa kwa huyu Rais, fikiria Rais wa Mpito wa Nchi ya Jamhuri ya Africa ya Kati, Bi. Catherine Panza, ameweza kuhairisha safari yake ya UN kwakuwa nchini kwake gereza limevunjwa na wafungwa zaidi ya 500 wamekimbia.

Kikwete, asante his term is coming to an end soon.
 
kusemau ukweli hata Magufuli nilikuwa simkubali,ila ukilinganisha ufisadi wa Magufuli na Lowasa,Lowasa ni papa.Kwa taarifa yako Nyumba ya aliyouziwa Sundi na Mussa zilisharudishwa serikalini wakauziwa waliostahili.Pia Sumaye mwenyewe alikiri kuwa mpango wa kuuza nyumba haukuwa wa Magufuli.Pia hizo nyumba Sumaye na Lowasa na wao walchukua.Magufuli kwa sasa yupo Safi na ndiyo anafaa kuwa RAISI

Mkapa alipokuwa anaingia 1995 hakuwa safi? Msafi mmoja anazungukwa na wachafu 1000 unategemea nini?
Nchi zote zinazotuzunguka zimeshatuonyesha mifano...vyama vilivyoleta uhuru vinahitaji kupumzishwa coz vimebweteka sana.
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.

Katika kitu ambacho JK hawezi kulaumiwa basi ni kuhusu kuhudhuria misiba,ni raisi ambaye sidhani kama kuna raisi anayeweza kumfikia kwenye hili,si ya viongozi tu hapana,JK ni muhudhuriaji mzuri sana hata kwenye misiba ya watu wakawaida,hapa lazima lipo la msingi lililomzuia yeye kufanya hivyo
 
kuna mtu kakaimishwa hiyo kazi
si mnajua baba yetu safari ya nje hawezi kumkaimisha mtu
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.

Wewe ndio unaakili matope kweli.watu huwa wanashindwa kuhudhuria Mazishi hata ya wazazi wao itakuwa Waziri. Hoja ya chuki tu Hio. Raisi angekuwepo kutoa heshima eehee ndio Kombani angefufuka?
 
Hata angezikwa na Jk pamoja na Convoy ya marais wa East Africa wote, kazi yake imekwisha hakuna kitakachobadilika
Kuliko Jk akatishe safari ili kutumbua kodi za walala hoi bora tu ahutubie hilo baraza la UN
 
Hatarii mpenda mjuuu nipita zangu nawai kwenye mkutano wa peoplezzzzzzz
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.
Rais wa Tanzania yupo UN Marekani kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa.pamoja na shughuli nyingine za kimataifa.Katika msiba serikali iliwakilishwa na Makamu wa Rais Dr.Ghalib Bilal.Fuatilieni habari na sio kulalamika hovyo.Una jingine?
 
Hilo linatafuta vikao vya pembeni na wakubwa baada ya mikutano ya U.N ili liwabembeleze walisupport uchaguzi huu ni hatari mno kwake halilali usingizi sasa hivi, na siku ndio zinasogea kwa spidi mno,
 

Attachments

  • 2015-09-28-07-43-42--2132452140.jpeg
    2015-09-28-07-43-42--2132452140.jpeg
    5.6 KB · Views: 190
Back
Top Bottom