Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

Kuntakint

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,767
Reaction score
1,526
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.
 
Magufuli katili sana, hakutuma salamu za rambirambi za kifo cha huyu kada wa ccm
 
​haijawahi kutokea ni tanzania tu!
 
Hivi hadi leo baraza la mawaziri bado lipo? Nilidhani wizara zinaongozwa na makatibu wakuu wakati huu. Hii inatokea Tanzania peke yake.
 
Ni sawa na baba aliyeenda China kununua bidhaa za biashara na mapumziko kidogo huku nyumbani mtoto akafa naye aseme endeleeni tu na mazishi sijamaliza shughuli zangu. Hebu tutafute kuna mahali popote duniani waziri kafa na rais akaendelea na ziara?
 
Prezidah anaishi uwanja wa ndege muda wote safari
 
Ana kula zake raha za mwisho mwisho.... Kwa kweli tulifanya kosa kubwa sana kwa hii miaka 10
 
baada ya 40,mjomba si atakuwa ukwereni anapiga na komoni na zile ngoma zetu. full raha tu kijijini.
 
CCM ni kundi la wachawi ... Daima hawapendani bali wanakaa pamoja kutokana na miiko yao ya kishetani
 
yuko kwenye mkutano wa UN,jamani kifo hakinaga taarifa.RAIS WETU MWACHENI AHUDHULIE BARAZA LA UN

Huo ukosefu wa taarifa ndiyo unaosababisha kuahirisha ziara za maraisi wazalendo na wanaowajali wananchi wao. Isitoshe, hotuba zao zote ni za kuandika si angemuachia balozi akasoma kwa niaba yake?? Maisha ya kuombaomba yanadhalilisha!!
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.

Ushirikina ndivyo ulivyo,alipofariki Sheik Yahaya aliamuru asizikwe ili ahudhurie mazishi,alikuwa nje ya nchi vilevile.
 
Jamani naomba kabla hujaandika R au L jiulize je uko sahihi? Ikibidi omba ushauri. Jamani hivi kweli mnakosea au ni makusudi? Zaidi ya asilimia 70 ya wana jf mnaandika broken Swahili halafu eti leo mnahoji kingereza cha wagombea? Unapoandika Urafi badala ya Ulafi! Mwingine kuhudhulia badala ya kuhudhuria! Loo! Basi andikeni kizungu tu tujue misomo international schools za mahela mengi ingawa mnasema hakijafanyika kitu 50yrs. Mbona kingereza hamkosei?
 
Hii ni fedheha kubwa kama rais wa Tanzania waziri wake anafariki akiwa nje ya nchi anashindwa kukatisha ziara na kurudi kujumuika na Watanzania kwenye maombolezo.

Tumeona kwa wenzetu huko alipo ingetokea rais wao akiwa hapa kwa vyovyote angekatiza ziara na kurudi kujumuika na raia wake.
Lakini rais wetu bila kujali ameendelea kula raha nje, huku tukidanganywa kuwa yupo kwenye shughuli za kiserekali. Hata kama yupo katika shughuli za kiserikali lakini inapotokea kifo katika taifa lako ni jukumu lako rais kuhairisha msafara na kurudi kujumuhika na raia wako. Kwani kundi aliloongozana nalo hakuna anaeweza kubaki na kuendelea na ziara mpaka awepo yeye.

Siku zote mnasema Kikwete ni mpenda watu ikitokea misiba anahudhuria, hakuna inategemeana na misiba na nyingine zinamkuta akiwa hapa nchini. Lakini ukifuatilia misiba na matukio mazito ya nchi yetu yaliyowahi kutokea ambazo rais anatakiwa awepo Kikwete hajawahi kukatiza ziara na kurudi. Anachojali sasa hivi ni kuhakikisha anamalizia ziara zake kwa mgongo wa urais.

tUNAMSHUKURU MUNGU KWA KIKWETE KUMALIZA AWAMU YAKE LA SIVYO WATANZANIA TUNGEENDELEA KULIA NA KUSAGA MENO. KIKWETE RAHA YAKE NI KWENDA KUOMBAOMBA MISAADA NJE WAKATI KATIKA NCHI YETU TUNA KILA KITU.

Hapo inategemea mbona makamo yupo anawakilisha kama kufa Kila siku tunakufa na rais hayupo tz
 
Back
Top Bottom