Kwahiyo Esta siyo mabasi ya Mwigulu kama tunavyoaminishwa?Mmiliki wa hiyo kampuni ni mzee mmoja hivi anakaa Kimara Baruti!! Kuna bar inaitwa Hawaii baruti pale,upande wa pili wa hiyo bar nyuma nyuma tu kidogo ndo kuna ghorofa yake!! Nyuma ya sheli ya Puma tuseme!! Tunakulaga nae vichungu baruti hapo!! Hata hafananii
Hivi wewe unaweza ukaleta evidence kwamba hajaagiza?Ameshaagiza tuletee evidence, au umesikia tu story..!!
Bill of loading ndiyo kitu gani au unamaanisha Bill of Lading?Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?
Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Na ndio ukweli wenyeweee...Kuna mchaga wa rombo anaishi mabibo karibu na chuo cha NIT alioa sehemu hela iko akapewa 2 kama kianzio cha maisha yeye na mkewe sasa kadei siku zinaenda za ndio yanazidi kuongezeka(huyo esta ni jina la mwanae wa kike ambaye alikufa kifo cha kutatanisha na alipoenda kuzikaa baba yake hakuhudhuria alipiga chenga fulani ndugu wakaamua kuzika wenyewe)kilichofuata !!!!!naomba niishie hapo vya watu havisemwi
Ngoja nilinde kiapo changu
wewe mzee acha kudanganywa.Mmiliki wa hiyo kampuni ni mzee mmoja hivi anakaa Kimara Baruti!! Kuna bar inaitwa Hawaii baruti pale,upande wa pili wa hiyo bar nyuma nyuma tu kidogo ndo kuna ghorofa yake!! Nyuma ya sheli ya Puma tuseme!! Tunakulaga nae vichungu baruti hapo!! Hata hafananii
Mke 2a Madelu anaitwa nani?Na ndio ukweli wenyeweee...
Huwa zikiletwa hizi story za madelu na haya mabasi huwa nashangaa sana.
Huyo bibie mwenye hizo chuma yuko vizuri haswaa.. Japo story za mapaka paka huwa zinahusishwa kimtindo.
Tsh 300mYu tong moja bei gani?
Kwa hiyo ni 18b labda amekopa bank.Tsh 300m
Mke wa madelu anaishi wapi?Mke 2a Madelu anaitwa nani?
Jamani, si ni mshahara wake, mbona wivu!!Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Kwani Tozo kazi yake nini...!!2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
Kununua YutongKwani Tozo kazi yake nini...!!