DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ndugu Suleman Jr, Maendeleo yapo ya aina Mbili

Economic Growth pamoja na Economic Development

Kwa kuwa hivi vyote vinahitajika sisi Tanzania tutaendelea kujenga Miundombinu ili kuboust hali ya Maisha yetu hasa maeneo yasiyofikika kule Jamii ya wengi ilipo, yaani Mikoani, Wilayani, Kata mpaka Vijijini. Huduma Muhimu kama barabara, madaraja ni sehemu kubwa ya kugusa Maendeleo ya watu (Economic Development) Japo Maendeleo ya watu yatajiashiria pale ambapo watu wanaweza kujipatia Mahitaji pasipo shida kubwa; Masoko yawepo, Wamudu Matibabu, Ada za shule walipe bila shida au upande mwingine pato la Taifa lizikave, Maji wapate bila shida kubwa, Chakula bora na cha kutosha kiwepo nyumbani na Mengineyo.

Upande wa Taifa kuingia uchumi wa kati, kupunguza utegemezi kama Madeni, kukuza Pato lake, kuwa na Bajeti Imara pamoja na kupanda Scale au thamani ili siku Moja tuwe wa Tisa Africa, tuwashushe Kenya angalau maana sisi ni wa kumi, hii ni (Economic Growth)

Kiufupi Maendeleo ya kujenga Shule nyingi tena zingine Mpya, Zahanati, Barabara, Miradi ya Maji, Reli, Mabwawa, Madaraja ni Mambo mazuri si ya kupingwa ni ya kushangiliwa na hasa wakati mwingine TUNAPOJENGA KWA PESA ZETU WENYEWE
Hawa ndio wale walioingia darasani wakahifadhi kozi yote kwa moyo. Nani kakuambia maendeleo ni kujenga soko kabla ya kumjenga mkulima, mfanyi biashara? Tunazungumzia priorities. Tungeweza kujenga hata space station tungetaka, lakini kweli tumefika huko kwa maendeleo ya mtu? Kinachoendelea Bongo ni kuwa kila siku maendeleo ya mtu yanarudishwa nyuma halafu mnashabikia vitu. Wasomi wa namna yenu: Placing the cart before the horse!
 
Acheni kupoteza nda mgari yale ni ya mchaga wa rombo,
Wewe akili huna.Hizo kampuni ziko mbili Kuna Esther na Queen Esther,wenye akili wanajua anazungumzia kampuni ipi,Kama ni poyoyo kiasi hiki ni vema ukatulia kusoma comment za watu.
 
Ukiletewa fact utafanya nini wewe mvimba macho wa utete.Evidence ngapi zililetwa humu ninyi keyboard warriors mlichukua hatua gani?Bure kabisa wewe.
Kwahiyo hapa tujadili umbea tu bila fact na evidence?
 
Nilikuwa namsikiliza tajiri wa ABC ITV alikuwa anasema yutong kwa sasa hv mpaka kukamilisha kila kitu si Chini ya 300M+
Sasa pigia 4OOM x 60 = 24B sasa hizo hela jamaa kazitoa wapi na mshahara wa Waziri unaeleweka ni maximum ni 2OM kwa mwezi.

Kwa mwaka mshahara wake ni 240M. Ukizidisha kwa miaka 6 aliyohudumu utapata around 1.44B! Ikumbukwe kipindi cha Magu hakuna safari za kijinga wala per diem kwahio lazma hela aliipunguza punguza kidogo.

Lets say alisave 1B sasa hizo 23B kazipataje za kuongezea kununua mabasi 😂😂😂
 
Sasa pigia 4OOM x 60 = 24B sasa hizo hela jamaa kazitoa wapi na mshahara wa Waziri unaeleweka ni maximum ni 2OM kwa mwezi.

Kwa mwaka mshahara wake ni 240M. Ukizidisha kwa miaka 6 aliyohudumu utapata around 1.44B! Ikumbukwe kipindi cha Magu hakuna safari za kijinga wala per diem kwahio lazma hela aliipunguza punguza kidogo.

Lets say alisave 1B sasa hizo 23B kazipataje za kuongezea kununua mabasi 😂😂😂
Hii nchi bora tugawane mapema tu haina maana tena
 
Kama yuko hivyo, apumzishwe tu. Anapata wapi wasaa wa kushughulikia mambo ya taifa? Ndiyo maana kila anachojua juu ya kupata revenue ni tozo. Hana wakati wa kubuni.
Lini sheria imekataza kumiliki mali? Uliwahi kwenda ofisini ukamkosa?

Hiyo ni Kampuni sio Mwigulu anaendesha bali ina management yake.
 
Lini sheria imekataza kumiliki mali? Uliwahi kwenda ofisini ukamkosa?

Hiyo ni Kampuni sio Mwigulu anaendesha bali ina management yake.
The thing is, huwezi kuwa jaji halafu ukasimamia case ambayo mke wako ni sehemu ya parties, hata uwe fair vp outcome ya maamuzi haiwezi kuchukuliwa vizuri kwa sababu ya conflict of interest, simple as that.
 
Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?

Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Ukiyajua ya Singida united utayajua ya esta
 
Hata kama ali-transfer umiliki kwenda mkewe, is it ethical? Kwenye nchi zilizostaarabika, hata kuhamishia umiliki kwa mke/mme bado huwezi kuondoa conflict of interest ndiyo maana wengine either huuza share zao completely au kuamua kuachana na nafasi ya kisiasa.
Uongo wa hali juu Trump.mfanyabiashara mkubwa akiwa Raisi wa Marekani hakufanya huo uongo wako ulioandika hapa

Alibaki na kampuni zake na hisa zake

Kenyatta tu hapo Kenya akiwa Raisi hakufanya huo uongo ulioandika

Tatizo Tanzania mtu.akifundishwa conflict of interest anakuwa limbukeni hata kabla hajaelewa vizuri conflict of interest ni kitu gani!!!

Mfano Balheresa na Ashkrim.zake leo awe Raisi halafu unasema kuuza unga wake na Askkrimu zake ni conflict of interest kichwani wewe akili utakuwa huna hata kama umesoma walikufundisha walipoteza muda
 
Uongo wa hali juu Trump.mfanyabiashara mkubwa akiwa Raisi wa Marekani hakufanya huo uongo wako ulioandika hapa

Alibaki na kampuni zake na hisa zake

Kenyatta tu hapo Kenya akiwa Raisi hakufanya huo uongo ulioandika

Tatizo Tanzania mtu.akifundishwa conflict of interest anakuwa limbukeni hata kabla hajaelewa vizuri conflict of interest ni kitu gani!!!

Mfano Balheresa na Ashkrim.zake leo awe Raisi halafu unasema kuuza unga wake na Askkrimu zake ni conflict of interest kichwani wewe akili utakuwa huna hata kama umesoma walikufundisha walipoteza muda
Ukiwa unajenga hoja, jenga hoja kama mtu mzima aliyekamilika.
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Jamani jamani jamani ni nakula buku2 kutwa halafu mtu anajiagizia midude kibao1!Achunguzwe kujuwa ukweli.
 
Back
Top Bottom