Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,700
- 1,857
Endapo ni kweli, basi yaonesha wazi akili fupi za waliowengi Tanzania, hata hao elites. Yaani una hela kama hizo hukuona cha kufanya katika dunia hii mpya isipokuwa biashara 'traditional' za kizamani, nawe ni Waziri wa fedha?
Hujui kuna kununua Bitcoins au ku invest katika stock za Japan, Marekani, Australia ambazo zitakuletea maradufu ya mabasi yote hayo kwa miezi sita tu? Au kuanzisha kiwanda ukaajiri kwa muda mrefu, start up katika info technology?
Hujui kuna kununua Bitcoins au ku invest katika stock za Japan, Marekani, Australia ambazo zitakuletea maradufu ya mabasi yote hayo kwa miezi sita tu? Au kuanzisha kiwanda ukaajiri kwa muda mrefu, start up katika info technology?