Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ombi ndugu madereva,ulikuwa unatembea taraatibu,mwenzio Yuko nyuma Yako na paso,eti kisa unaendesha crown basi ndio unaongeza speed eti kisa hutaki kupitwa na Passo, wengi wameua watu kwa league na kiburi Cha dharau, ,,,una gari ni nzito inaenda speedy,basi tembea speed,huna halaka acha wenye Suzuki alto na Passo wakupite maana wanataka kuwai,Kila mtu anajua crown Ina speed,

Mbona hatuna hayo mambo

Udereva ni ustaarabu wa mtu binafsi

Lkn nawew kabla ya ku overtake omba site

Unakuta anakuepusha labda kaona kitu mbele ambacho hujakiona mkuu.
 
Yangu November ntachukua ushauri

Dsm-Moshi-kahama -mwanza-Dsm
Hii route hauwezi fanya mchakato ukazunguka?

1000110271.png
 
Uendeshaji wa gari pamoja na sheria zake, utu unahitajika pia, utakuta dereva wa trunk anang'ang'ania ile fast line ya ku overtake ,Tanzania tuna keep left na pass right, traffic officer's wetu hawatilii umuhimu wa kuwapima madereva kuhusu vilevi, na T1 madereva wa IT's ni wasumbufu mno na tabia yao ya kuendesha wakiwa full lights
 
Back
Top Bottom