Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sikatai utofauti wa handling kuwepo. Hili linajulikana dunia nzima. Mjapan hamfikii beberu kwa handling. Plus sina authority ya kucomment kuhusu hilo mpaka nimiliki chuma ya mjerumani au mzungu pia.

Ninachokataa ni kwamba gari za Japan kama hizi zimekuwa limited kwasababu haziwezi handle 260 wakati their european/american versions ambao wanashare the same parts wameachiwa.

In short: japanese can do 260 as well ukitoa limiter. Not as comfortably as BMWs obviously but safely enough to be allowed to get there.

Siukatai utofauti. It just that sometimes mnawaweka wajapani wote kwenye kapu moja afu mnatupa kwenye trash bila kuconsider kuwa kuna individualities ndani ya japanese pia.

Nimekumbuka kuna siku tulikuwa tunakandia subaru humu wakati jamaa mmoja kama sikosei The Wolf katoka kudodosha 35M kuchukua XT yake afu wahuni tunasema hamna kitu hapo
Subaru inahama mzee, respect to the fucn 2.0L boxer! Jana nilikuwa na officer mmoja wa kitengo cha wakuda aisee ile gari inavyoendeshwa ni zaidi ya schumaker😅😅😅 ndipo nilielewa kwanini wanaisifiaga subaru!
 
Basi nikikutana nayo ntakuwa na discipline nisije kuadhirika
Gari ni dereva wala sio ishu ya Amarok ama sijui TDi! Huyo mwenye Amarok ukiwa jasiri unamsomesha namba tu chap😅 hela ya kujazia tank iwepo tu maana tutachakazana kwa 7rpm kila dakika hamna rangi ataacha kuiona huyo bwege! Plus matumizi ya O/D on and off atafanywa mboga tu mbona
 
Kweli kabisa.
Yeah mkuu juzi tu nilikua natafta spare za Surf new Model hasa shocks na coilovers mzigo ulikuwa unagonga 850K za mbele tu😅 hapo bado coils zake uki add inagusa 1.3M! Ukijumlisha na za Nyuma ngoma ilifika 2.4M.

Ila at the same time zipo chakachuaji from Thailand za 260K na coil za 400K! Toyota ni expensive ukisaka genuine parts. Tunajificha kwenye fake parts ndio maana tunaona Toyota ni rahisi
 
Na punda ukimgonga na kigari kidogo, anajipukuta vumbi anaendelea kula majani, wewe unaenda garage..
emoji1787.png
emoji1787.png
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom