ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,138
- 17,609
Naona kweli siku hIzi unapiga vitu maana umeshusha maneno leo [emoji28]Yaani petro stations kuna comedy za kila aina..
Wengine wakiona bei ya mafuta wanaanza kutukana viongozi wa serikali..atatukana hadi anaondoka.
...........................................
We jamaa ukifika nitafute tunywe bia mbili tatu.