Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sasa we unataka uweke full tanki uende wapi aisee😂 shida ya gari ikiwa na mafuta mengi ndio unapata akili za Kijana wa hovyo hovyo kutoka Dar kwenda Cate hotels Moro kunywa kahawa😅 na kurudi
Gari unakuta lita moja linaenda 18km, ukizidisha mala lita 4 unapata 72km lina nusa tu 😁😁😁😁
 
Ah we lita 2 jamani!gari??
Haya ni madhara ya kila mtu kutaka kumiliki gari hata wasio na uwezo.
Bora siku hizi tumeshusha bei ni 2500 per lt angalau kalita 2 kanaenea.

Ifike mahala magari wamiliki kina RRONDO tu!
Tena passo na vitz zipigwe marufuku kabisa main road ili jam ipungue
Wewe mtoto hebu Acha balaa! Sisi ni wabishi tu,maisha haya bila ubishi hayaendi
 
Toyota sometimes wawe serious kidogo...ni nini hiki...!!??
FB_IMG_16394053875198959.jpg
 
Back
Top Bottom