RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,799
- 129,636
- Thread starter
- #12,901
Hamna Raha kama kujaza full tank,unawacheki tu watu wanakusubiri,wengine wanakuja wanajaza 10,000 wanaondoka wewe upo Tu 😂😂Lini unakuja kwetu kujaza full tank?
Nawapenda wateja wa full tank,,akifika hana mbwembwe,anasema tu 'jaza'.

,
unainjoy kufanya ubabe road!

