Nina gari nimenunua 2023 UK. DPF kama yote. Mafundi wengi wa kibongo wanakushauri delete, but reality siyo rahisi hivo. Kuna kupindi iliniletea shida kidogo. Fundi kaniambia tutume UK (mwingine akasema Egypt), jamaa yake ni mtaalamu wa kudelete. Nikamcheck jamaa yangu UK ni exporter wa magari…..mwisho akaniambia uki delete utasababisha shida mbele ya safari. Hata huku UK watu wanafanyiwa delete kama kuwapoza tuu ila tatizo lipo tuu.
What I did….nilikuwa kwa dealer kila mtu anatoa macho tuu. Dogo mmoja akanisanua. Braza twende mtaa wa Pili nikuonyeshe kitu. Tukaenda chamber, Dogo akaniambia inawezekana umeweka @Adblue non compatible. Tuka empty tank lote la @Adblue, tukaweka nyingine. Nikawasha gari. After one minute check engine ikapotea na dashboard ikasoma vizuri. Tangu siku hiyo sijawahi pata shida tena na DPF.
Kama walivyosema wadau humu, Kikubwa gari Mara moja moja unaipiga hata 100kms.
Unless otherwise, nisingekushauri ku delete DPF. Mafundi wetu noma sana. Magari ya Umeme kwa wengi ni changamoto inayowafanya watafute majibu ya mkato. Juzi Kati yangu niliiendesha 900km+
All the best,