Wazee wa Pixel: Google wamezindua Pixel 10 Series!

Wazee wa Pixel: Google wamezindua Pixel 10 Series!

Zina shida gani? Nini tofauti na processor nyingine kama uliyotaja?
Hazina shida ila kwa level ya flagship huwa zinaachwa gap na wenzake wanaotumia Snapdragon kwenye performance (CPU na GPU) so kwenye processor Pixel zinakuwa nyuma ukilinganisha na Samsung, Oppo, Xiaomi, vivo nk
Ingawa Pixel zipo vizuri kwenye sekta nyingine
 
Ninapenda gadgets na wala si sababu nyingine yeyote...

Nimekuwa nikitumia Samsung tangu 2012 hapo hadi sasa...

Pixel za mwanzo zilivyotoka sikuwa nimeguswa sana na muonekano wake, lakini kuanzia toleo la 9 na sasa hili la 10 zinashawishi kujaribu kuwa nayo...

Features nyingine za ndani nadhani hazipishani na Samsung sababu zote ni android OS...
Nilihama Samsung nikaenda pixel, mkuu achana software UI ya Samsung, hii ngoma sidhani ina mpinzani.

Mapema sana mwezi wa 6 nimerudi Samsung. Samsung wa moto mzee.
 
Zote ni Android lakini Samsung wameweka One UI. Zina vitu vingi sana kuliko Pixel na zinatofautiana
Pixel software yake inawapendeza watu wanaopenda simplicity na minimalistic design, hawataki mambo mengi.
Samsung wao wamebase kila kona, kuanzia features, customization, AI nk. Software yao ina kila kitu
Ila kama umetumia Samsung tangu 2012, basi naelewa kwa nini unataka uhame
Upo sahihi, Samsung anakupa kila kiiiitu unachokitaka mteja. Vyote anakupa, hii Samsung UI ni moto mwingine.
 
Back
Top Bottom